saidow masaka
Member
- Aug 14, 2016
- 31
- 48
Ndio mtungi unachukua nafasi kubwa, na unaweka gesi kidogo, gesi ya kutembea 150+kmTatizo mabegi nitaweka wapi? tank la gesi limechukua nafasi kubwa?
Sent from my TECNO CC7 using JamiiForums mobile app
Nakaribiaje wakati hujaweka bei na details za muhimu.Nimemaliza.. karibu
Nimeweka number za simu hapo whatsap na calls. Kila gari inaspecification zake mkuu.Nakaribiaje wakati hujaweka bei na details za muhimu.
Mkuu kaa chini uandike vizuri. Uandike kitu kinachoeleweka.
Zaidi useme mko wapi??, ujazo wa gesi na bei yake na umbali kulingana na ujazo Pia tuambie ukishafunga hiyo system maeneo ya ku refill hiyo gesi ili tusije tukajinunulia gesi ya matumizi ya nyumbani.
Yeah... Hii ni kwa wateja wa dar tu, kwasbb ndio cng ipo huku..... mtungi kama unaoonekana kwenye picha ukiwa full on average kwa SUV kama Xtrail, Rav4, etc. (1900+ cc's) naweza kwenda km ngapi? Ndio hizo 150 - 200km? Kama ndivyo medium long safari like Arusha, Iringa, Singida, etc. unaingia "sheli" hadi basi wakati petroli refilling breki ya kwanza Moshi.
Anyway, ni mwanzo mzuri ila itachukua muda kufikia level ya petrol/dizeli.
Hii apa gauge na switch ambayo ukibonyeza unaingia kwenye gesi/petrol mwenyewwView attachment 1780908Nikitaka kurudi kwenye mfumo wa petrol, ni rahisi kiasi gani? Naweza badilisha mwenyewe (say kwa kubonyeza button fulani) au ni jambo linahitaji ufindi mkubwa? Nafikiria gesi ikiisha sehemu ambapo hakuna station ya ku refill gas karibu.
Super!Hii apa gauge na switch ambayo ukibonyeza unaingia kwenye gesi/petrol mwenyewwView attachment 1780908View attachment 1780907
KaribuSuper!
Tunao wakaguzi wa haya magari kila baada ya miezi 6. Kuna company zinafunga second hand kweli ila kwangu cylinder ni mpya. Na mim ni mtaalamu nimesoma mpk kukagua gari la gesi na mtungi wake. Tofauti na kampuni nyingineMkuu sikuaribii biashara lakini hii mitungi inayowekwa hapa Bongo kweli ni salama? Watu wa TBS wameyajaribu haya magari in 'deliberate' crashes wakaona ni salama kweli? Nijuavyo mimi hiii mitungi inakuwa reinforced chini na hapo ndio 'chasis' inakuja juu (angalia picha) kukitokea kungongana hakuna madhara kama hii yetu ambayo mie nadhani tunatembea na 'mabomu'.
View attachment 1780918
Tunao wakaguzi wa haya magari kila baada ya miezi 6. Kuna company zinafunga second hand kweli ila kwangu cylinder ni mpya. Na mim ni mtaalamu nimesoma mpk kukagua gari la gesi na mtungi wake. Tofauti na kampuni nyingine
Safi. TBS wamefanya deliberate crash kuona safety au ni nyie tu mnafanya ukaguzi wenu?Tunao wakaguzi wa haya magari kila baada ya miezi 6. Kuna company zinafunga second hand kweli ila kwangu cylinder ni mpya. Na mim ni mtaalamu nimesoma mpk kukagua gari la gesi na mtungi wake. Tofauti na kampuni nyingineView attachment 1780925
Tbs hawana watu wenye qualification ndio maana sisi tunafanya under tbs.. though kila cylinders zinazokuja lazima zifanyiwe documentation parameter za testing pressure ambayo ni 300bars without rapture. And working pressure ni 200bar. Lazima ziwe documentedSafi. TBS wamefanya deliberate crash kuona safety au ni nyie tu mnafanya ukaguzi wenu?
Yeah ni kweli . Tutaifanyia kazi kuiweka sawa.Mkuu hebu mngekuja kisasa kidogo mngejaribu kutoa tank za mafuta na kuziwekea patisheni kwa ndani walau robo tatu gas na robo petrol na ifungwe ilipotoka ya awali sasa kama hicho kigari pichani buti imejaa mtungi wa gesi na mizigo tutahifadhi wapi kama Sie wenye passo,nyuma nna spika kama huo mtungi na kibegi kimoja niwapo safari sasa Leo spika+mtungi+mabegi si nitakosa hata sehemu ya kupakia watoto,kuweni na huruma.