Magari ya abiria ya Kilolo ni janga

kalimanzilajuma

JF-Expert Member
Mar 21, 2017
323
314
Ndugu wana jamii hawa trafiki wanaokaa barabara ya kuelekea kilolo mkoa wa iringa hawana msaada wowote kwa abiria.Magari yanayobeba abiria ni mabovu sana, wanasubiri yauwe watu ndo wajifanye waanze kutoa matamko. Leo gari limepita mbele yao taili la mbele halina upepo wala hawana habari
 
Ndugu wana jamii hawa trafiki wanaokaa barabara ya kuelekea kilolo mkoa wa iringa hawana msaada wowote kwa abiria.Magari yanayobeba abiria ni mabovu sana, wanasubiri yauwe watu ndo wajifanye waanze kutoa matamko. Leo gari limepita mbele yao taili la mbele halina upepo wala hawana habari
hivi ile njia kuna trafik kweli mana kuna gari zona mabenchi ya mbao
 
Mwenye namba ya mkuu wa kikosi cha Usalama barabarani Iringa aiweke hapa tumpe taarifa kamili.
 
Mimi kuna gari nililiona mwaka 2014 hapo Iringa linaitwa Vitu Laini, linaenda huko Kilolo, asee sikuamini. Ile gari haifai hata kuwa banda la mifugo kweli.
 
Ndugu wana jamii hawa trafiki wanaokaa barabara ya kuelekea kilolo mkoa wa iringa hawana msaada wowote kwa abiria.Magari yanayobeba abiria ni mabovu sana, wanasubiri yauwe watu ndo wajifanye waanze kutoa matamko. Leo gari limepita mbele yao taili la mbele halina upepo wala hawana habari

Nakubaliana na wewe. Baadhi ya haya magari mabovu yanafanya safari za Iringa mjini! Yanapita na kupaki Iringa mjini. Hakuna anaeyaona?
 
Mimi kuna gari nililiona mwaka 2014 hapo Iringa linaitwa Vitu Laini, linaenda huko Kilolo, asee sikuamini. Ile gari haifai hata kuwa banda la mifugo kweli.
Hahaaaaa. Ila vitu laini ilipata ajali ikaua 5 miezi kama 2 imepita. Bado haijarudi barabarani.
 
Nakubaliana na wewe. Baadhi ya haya magari mabovu yanafanya safari za Iringa mjini! Yanapita na kupaki Iringa mjini. Hakuna anaeyaona?
Kati ya hayo mabovu yapo ya wazee wa mjini. Ni aidha wanatishia askari kwa uchawi au ni wanachama wa CHAKAVU. Askari wanawaogopa!
 
Ndugu wana jamii hawa trafiki wanaokaa barabara ya kuelekea kilolo mkoa wa iringa hawana msaada wowote kwa abiria.Magari yanayobeba abiria ni mabovu sana, wanasubiri yauwe watu ndo wajifanye waanze kutoa matamko. Leo gari limepita mbele yao taili la mbele halina upepo wala hawana habari


Usishangae yawezekana kati yao kuna mmoja ndiye mmiliki wa hilo bus
 
Askari anaogopa kulogwa! Labda uniambie wanahongwa ulanzi au wanawekwa kwenye payrolls za hao wamiliki magari.
Mkuu wangu, unaongea kwa ugeni tu. Hujawahi kuishi ile nchi ya Mkwavinyika. Niliwahi ishi pale. Kuna askari alileta kiheremswede kwa mzee wa mjini hapo. Akakamata gari zima linatembea na kulipeleka kituoni. Kesho mzee kalipa faini anataka apewe gari haliwaki. Hapa na pale kuangalia vema injini haipo. Kilichojiri usiniulize. Yawezekana ni tamthiliya ya "ze promise"! Na kwa kukuongezea tu hailogwi serikali analogwa mtu. Hahahahaaa!
 
Back
Top Bottom