joseph mwita
Member
- Jan 7, 2011
- 7
- 0
Wana JF, Mi nionavyo kuhusu foleni katika Jiji la Bongo ni kuchukwa maamzi makali ya kuamua kuzuia magari yenye kubeba abiria chini sita kuingia mjini. Pia na Sumatra kutoa leseni kwa mabasi makubwa tu
<br />wewe ni wa wapi?