Waje TZ kujifunza jinsi ya kusimamia na kuendeleza(kugida) rasilimali na maliasili za Taifa. TZ imepiga hatua kubwa katika hili.Tumeweza kuwa na maisha bora kwa kila mtanzania, pia tunajivunia amani na utulivu. Kwa hiyo kukujibu suali lako, ndio mkuu itawezekana kama sisi tulivyoweza.
Leo tarehe 12 Dec, 2010 Rais wa Ghana amefungua Valvu na mafuta yameanza kutiririka kwenda kwenye matanki nchini Ghana kwa mara ya kwanza. Mafuta haya yaligunduliwa miaka 3 iliyopita na inaaminika kuna mapipa kama Bi. 2 na katika miaka miwili ijayo Ghana itakuwa na uwezo wa kutoa mapipa 250,000 kwa siku.
Katika hotuba yake wakati wa ufunguzi, Rais wa Ghana ametahadharisha waghana kuwa wawe waangalifu wasijekuwa kama majirani zao Nigeria na Mafuta. Ikumbukwe kuwa ugunduzi wa mafuta katika nchi ya Angola umepandisha uchumi wake na kuifanye ilipe madeni yake yote na kumwamuru mwakilishi wa Benki ya Dunia kuondoka chini Angola lakini hali si hiyo nchini Nigeria. Uchumi wa Angola na nchi nyingine nyingi za Afrika na dunia kwa ujumla zinazotoa mafuta umenufaika na kupanda kwa bei ya mafuta katika miaka ya karibuni.
Zipo nchi nyingine barani Afrika ambazo mafuta hayajaweza kubadilisha kwa kiasi kikubwa maisha ya wanachi na hapa ndipo swali hili linakuja. Je Ghana itaweza kuinua maisha ya wananchi wake kwa uchimbaji huu wa mafuta?
atta mills ametoa hutuba safi saana sasa sijui ni kwa sababu ya uzalendo au kwa kuwa ni mchumi aliye elemika? Nilimsikia kwenye sky news kama wataweka video clip yake nita ipost hapa, sasa ili ya wenzetu na dhahabu ngoja ni niitafutie maneno yanayo faa, tena mkapa? Aliyepata elimu nzuri tu na expose.
sisi mafuta tutagundua lini?hapa bongo? au hatutafuti?
Leo tarehe 12 Dec, 2010 Rais wa Ghana amefungua Valvu na mafuta yameanza kutiririka kwenda kwenye matanki nchini Ghana kwa mara ya kwanza. Mafuta haya yaligunduliwa miaka 3 iliyopita na inaaminika kuna mapipa kama Bi. 2 na katika miaka miwili ijayo Ghana itakuwa na uwezo wa kutoa mapipa 250,000 kwa siku.
Katika hotuba yake wakati wa ufunguzi, Rais wa Ghana ametahadharisha waghana kuwa wawe waangalifu wasijekuwa kama majirani zao Nigeria na Mafuta. Ikumbukwe kuwa ugunduzi wa mafuta katika nchi ya Angola umepandisha uchumi wake na kuifanye ilipe madeni yake yote na kumwamuru mwakilishi wa Benki ya Dunia kuondoka chini Angola lakini hali si hiyo nchini Nigeria. Uchumi wa Angola na nchi nyingine nyingi za Afrika na dunia kwa ujumla zinazotoa mafuta umenufaika na kupanda kwa bei ya mafuta katika miaka ya karibuni.
Zipo nchi nyingine barani Afrika ambazo mafuta hayajaweza kubadilisha kwa kiasi kikubwa maisha ya wanachi na hapa ndipo swali hili linakuja. Je Ghana itaweza kuinua maisha ya wananchi wake kwa uchimbaji huu wa mafuta?
Kuna kampuni kadhaa zinatafuta mafuta kwenye pwani ya nchi yetu na kuna dalili ya kupatikana so tuvute subira tuone mwisho wake utawaje!
Ni kweli Mkuu wako wanatafuta ila juzi wametoa taarifa kuwa kwenye kisima kimoja ambacho kinaitwa PWEZA 1 wamekutana na Gas. Hivyo tuwe wavumilivu tu ingawa kwa upande mwingine unaweza kusema afadhali hata yaspatikane tu maana hawa jamaa watatuibia tu!!!!! Na hivi hatujapata dawa ya kuwachakachua hivyo tutazidi kuwa maskini tu huku akina EL, RA, RK, AC n.k wataendelea kuneemeka tu!
Waje TZ kujifunza jinsi ya kusimamia na kuendeleza(kugida) rasilimali na maliasili za Taifa. TZ imepiga hatua kubwa katika hili.Tumeweza kuwa na maisha bora kwa kila mtanzania, pia tunajivunia amani na utulivu. Kwa hiyo kukujibu suali lako, ndio mkuu itawezekana kama sisi tulivyoweza.
Waje TZ kujifunza jinsi ya kusimamia na kuendeleza(kugida) rasilimali na maliasili za Taifa. TZ imepiga hatua kubwa katika hili.Tumeweza kuwa na maisha bora kwa kila mtanzania, pia tunajivunia amani na utulivu. Kwa hiyo kukujibu suali lako, ndio mkuu itawezekana kama sisi tulivyoweza.