Mafuta ya Ubuyu

Mafuta ya Ubuyu

Fofader

JF-Expert Member
Joined
Sep 28, 2011
Posts
864
Reaction score
301
Kuna mtu alikuwa anatangaza anafanya biashara ya mafuta ya ubuyu. Je stock bado ipo? Na bei ikoje sasa?
 
Mmmh, Ubuyu ubuyu kweli au? Hii si sawa na kutafuta machozi ya simba?
 
Mmmh, Ubuyu ubuyu kweli au? Hii si sawa na kutafuta machozi ya simba?

Mafuta ya ubuyu yanatumika kwa wingi tu. Ni mazuri kwa ngozi. Kama unataka kujua google "baobab oil" ujionee mwenyewe.
 
Mmmh, Ubuyu ubuyu kweli au? Hii si sawa na kutafuta machozi ya simba?
Mkuu nadhani uliposikia mafuta ya ubuyu nadhani umefikiria ule unga wake. Hapana mkuu haya mafuta yanatokana na mbegu za ubuyu.

Eti kutafuta machozi ya simba, umenichekesha sana mkuu.
 
Habari za uhakikaka kutoka TBS mafuta ya ubuyu si mazuri kwa matumizi ya chakula ila ni mazuri kwa matumizi mengine unayoyafahamu. so be careful unapotafuta mafuta hayo. TBS walipokea sample toka kwa wajasiriamali wa Dodoma wakitaka kujua kama mafuta hayo yanafaa kwa matumizi ya chakula.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom