Mbali sana hakika, but ulikuwa wakati mzuri pia mkuuSwadaktaaaa nakumbuka enzi zile mwanzoni mwa miaka ya 90 nikiwa kijijini kule basi mafuta ya taa ndio ilikua bidhaa muhimu sana pindi ifikapo usiku tunawasha koroboi zetu basi tunafanya yetu mpaka mida ya kulala, so hii ni sababu yakaitwa mafuta ya taa
Daaah ila binadamu tunatokea mbali aiseeee
very interesting and educating,asante mkuu...i wish JF hii ya zamani irudi,ya siku hizi imejaa kebehi ujuaji na mapenzi tu ya mitandaoni,shame!SHELL ilikuwa kampuni kubwa ya kuuza mafuta kama ilivyokua Total, esso, CALTEX, Agip, BP nk. SHELL ilipigwa marufuku pamoja na kampuni zake tanzu kuendesha biashara Tanzania, baada ya wamiliki wa kampuni hiyo kujihusisha na siasa za Zimbabwe. walimuunga mkono Ian Smith.Simith, mzungu aliyekuwa na uraia wa Zimbabwe, zamani ikiitwa Rhodesia. Smith alipewa madaraka kinafiki na Uingereza ili kuwatuliza wapigania Uhuru wa nchi hiyo wakiongozwa na ZANU PF. Tanzania iliyokuwa mwenyekiti wa nchi zilizo mstari wa mbele kwenye ukombozi wa nchi za kuzini mwa Afrika zilimkataa Ian Smith na hivyo SHELL ikatimuliwa Tanzania. Kwakuwa ilikuwa na vituo vingi vya kuuzia nishati hiyo jina lake bado linatamba. SHELL walikuwa wanatumia logo hii hapaView attachment 786380
sasa miguu ya kuku ina stim ganintakuja hapo andaa filigisi NNE na miguu ya kuku sita
Basi ita mafuta ya mwenge. Simple tuMafuta ya taa ni nishati inayotumika katika matumizi ya vitu mbali mbali,lakini jina lake maarufu limebaki kuwa mafuta ya taa,swali ni nani alitunga hilo jina na kwanini yawe ni mafuta ya taa tu,wakati yanatumika kwenye vitu vingine zaidi ya taa!
Kuuliza si ujinga!
Sio nostrils tu hata masikioni mkuu,karibu kwetu,ukifika ntakupa offer ya kichwa cha jogoo na kidusi cha mtetea siunajua kinavyonona..ha ahahahahah ndio maana asubuhi mama muuza filigisi huwa anaamka nostrills nyeusi tii kama exhaust ya gari la mashindano sababu ya hizo koroboi...
upande huo tuwaachie wanasiasa!Nilijua utazungumzia jinsi yalivyopanda bei kwa sababu ya kuzuia uchakachuaji! na labda ungeshauri yashushwe maana kwa sasa ubabaishaji umepungua kidogo.
Pamoja na kuendesha injini za ndege lakini jina limebaki mafuta ya taa!Matumizi makubwa ya mafuta ya taa (kerosene/parafin) ni kuendeshea injini za ndege (jet engines) yanakua na ubora tofauti na yale tunayowashia vibatari nyumbani lakini ni mafuta ya taa yaleyale
Aiseeee"" kumbe ""SHELL ilikuwa kampuni kubwa ya kuuza mafuta kama ilivyokua Total, esso, CALTEX, Agip, BP nk. SHELL ilipigwa marufuku pamoja na kampuni zake tanzu kuendesha biashara Tanzania, baada ya wamiliki wa kampuni hiyo kujihusisha na siasa za Zimbabwe. walimuunga mkono Ian Smith.Simith, mzungu aliyekuwa na uraia wa Zimbabwe, zamani ikiitwa Rhodesia. Smith alipewa madaraka kinafiki na Uingereza ili kuwatuliza wapigania Uhuru wa nchi hiyo wakiongozwa na ZANU PF. Tanzania iliyokuwa mwenyekiti wa nchi zilizo mstari wa mbele kwenye ukombozi wa nchi za kuzini mwa Afrika zilimkataa Ian Smith na hivyo SHELL ikatimuliwa Tanzania. Kwakuwa ilikuwa na vituo vingi vya kuuzia nishati hiyo jina lake bado linatamba. SHELL walikuwa wanatumia logo hii hapaView attachment 786380
na hili ndio jibu stahiki ""Utakuwa Umeishi Mjini umeme umeukuta siye wengine Tulioishi Umeme ukatukuta Tunaelewa kuwa yanaitwa Hivyobkwa sababu yalikuwa yanatumika kwenye Taa za Chemli unaweka Mafuta Ili Uweze kuona
Ni kweli na sio tanzania tu, ni sehemu kubwa ya dunia wanayaita hivyo. Kwenye nchi zinazozungumza kiingereza yanafahamika kama "lamp oil"Pamoja na kuendesha injini za ndege lakini jina limebaki mafuta ya taa!
MwanaCCM huna akili.Mafuta ya taa ni nishati inayotumika katika matumizi ya vitu mbali mbali,lakini jina lake maarufu limebaki kuwa mafuta ya taa,swali ni nani alitunga hilo jina na kwanini yawe ni mafuta ya taa tu,wakati yanatumika kwenye vitu vingine zaidi ya taa!
Kuuliza si ujinga!
Bado hamjaanza kutumia betri na taa za umeme wa betri kama maeneo mengine hapo Dar?Sie bado tunayatumia huku kwetu Dar maeneo ya Tandale kuuzia miguu ya kuku na filigisi usiku...
Shukrani!MwanaCCM huna akili.
CCM waliwadanganya watawaletea gesi.Bado hamjaanza kutumia betri na taa za umeme wa betri kama maeneo mengine hapo Dar?
Bonus nakupa ni Kwamba haya mafuta ukiyapata yale yaliyo masafi kabisa basi unaweza kuyaweka kwenye tank la ndege na ikapaa bila wasiwasi.Mafuta ya taa ni nishati inayotumika katika matumizi ya vitu mbali mbali,lakini jina lake maarufu limebaki kuwa mafuta ya taa,swali ni nani alitunga hilo jina na kwanini yawe ni mafuta ya taa tu,wakati yanatumika kwenye vitu vingine zaidi ya taa!
Kuuliza si ujinga!