flulanga
JF-Expert Member
- Jul 1, 2016
- 4,861
- 6,342
Huwa natumia lotion inaitwa rubby ila nahitaji kubadilisha, mimi ngozi yangu kama inamafutamafuta japo sio sanaaa. Nahitaji lotion ambayo itanisaidia kuniondolea vidude flani vyeupe vinatokeaga puani, nakwenye mashavu kama vilishawahi kukutokea naamini utavitambua. Kwayoyote anayetambua lotion nzuri anaweza niambia, karibuni
NB. Me nimwanaume
NB. Me nimwanaume