agata edward
JF-Expert Member
- Nov 25, 2014
- 6,641
- 9,391
Naomba kufahamu wakuu,mafuta mazuri yasiyochubua kwa mtu mwenye ngozi kavu.
Hahaha amigo acha utaniTumia mawese ndio suluhisho kwa ngozi yako, maana naona hata waifu ndio anayatumia hapa nyumbani, na kila akiamka shuka lazima libaki na rangi ya njano kwambaaaaaali....
Duh!!!
Ndiyo mwanzo wa kuliwa na panya usiku huuMafuta ya korosho
Walah comrade....Hahaha amigo acha utani
Tehh..teehhh....teeeehhhh.....Ndiyo mwanzo wa kuliwa na panya usiku huu
Tumia Mafuta ya Transfoma...Ngozi inarudi kuwa Mwororo...!
Hahaha sawa comrade yangu machoWalah comrade....
Na hapa umesha nilete ugomvi, kesho usipo niona humu ujue nitakua nime pewa kichapo na waifu....
Sasa tusipofanya hivo watakula wapi dada anguNdiyo mwanzo wa kuliwa na panya usiku huu
Hayachubui?Njoo nikupatie veerox then uchanganye na griseline ya tanga
Hutajuta
0714547830
Huchubuki hata,Hayachubui?