Barabara ya Morogoro imefungwa baada ya maji mengi kupita juu ya daraja maeneo Doma karibu geti la mbuga ya Mikumi. mpaka sasa kuna msongamano wa magari mengi sana.
selfish
Wito kwa madreva pls ikifika usiku paki magari yenu kwani kuendesha usiku na huoni barabara ipo wapi ni hatari sana
Kwani baada ya barabara kuharibika wameambiwa wapite porini hadi wasione barabara?
Daraja limekatika doma ss tumevuka ng,ambo ya pili usafili tuliopanda kwenda morogoro tumepanda fuso
Unaweza kutamani kuwa ungezaliwa hata Somalia na sio hapa .......!!!!!!!
Inakera sana!