Earthmover
JF-Expert Member
- Sep 28, 2012
- 25,977
- 25,303
Ma lofaa katika ubora wetu. Kwa kwa kwa! Subiri nichungulie vizuri kichinjio changu kama kipo maana hawa ccm ni wachawi kisije kikawa kimeyayuka!
Ma lofaa katika ubora wetu. Kwa kwa kwa! Subiri nichungulie vizuri kichinjio changu kama kipo maana hawa ccm ni wachawi kisije kikawa kimeyayuka!
Eeeh bwana eeh!Mafuriko haya na yale ya Bukoba hatari tupu.
Mabadiliko yanazidi kunoga kila uchwao!
Ma lofaa katika ubora wetu. Kwa kwa kwa! Subiri nichungulie vizuri kichinjio changu kama kipo maana hawa ccm ni wachawi kisije kikawa kimeyayuka!
Jamani mtamuua Magufuli wa wati bureee
tusisahau kujadili na hoa za msingi kwa taifa letu wingi si HOJA