Elungata JF-Expert Member Joined Jan 28, 2011 Posts 40,343 Reaction score 33,506 Nov 17, 2013 #1 Ni jambo linalotokea kwa nadra sana,lakini leo mji wa riyadh umeshuhudia mafuriko baada ya mvua kubwa kunyesha.mabadiriko ya hali ya hewa is realy.
Ni jambo linalotokea kwa nadra sana,lakini leo mji wa riyadh umeshuhudia mafuriko baada ya mvua kubwa kunyesha.mabadiriko ya hali ya hewa is realy.
Elungata JF-Expert Member Joined Jan 28, 2011 Posts 40,343 Reaction score 33,506 Nov 17, 2013 Thread starter #2 http://rt.com/news/saudi-arabia-rare-flooding-844/
IGUDUNG'WA JF-Expert Member Joined Oct 22, 2011 Posts 2,071 Reaction score 1,317 Nov 17, 2013 #3 Elungata said: Ni jambo linalotokea kwa nadra sana,lakini leo mji wa riyadh umeshuhudia mafuriko baada ya mvua kubwa kunyesha.mabadiriko ya hali ya hewa is realy. Click to expand... mkuu hii nchi nako mvua huwa inanyesha? si kuna Jangwa la kutosha huko?
Elungata said: Ni jambo linalotokea kwa nadra sana,lakini leo mji wa riyadh umeshuhudia mafuriko baada ya mvua kubwa kunyesha.mabadiriko ya hali ya hewa is realy. Click to expand... mkuu hii nchi nako mvua huwa inanyesha? si kuna Jangwa la kutosha huko?
K kiparah JF-Expert Member Joined Sep 7, 2010 Posts 1,173 Reaction score 117 Nov 17, 2013 #4 Du! Kweli maajabu, hadi huko mvua inanyesha siku hizi!
life is Short JF-Expert Member Joined Apr 1, 2013 Posts 4,741 Reaction score 3,037 Nov 17, 2013 #5 IGUDUNG'WA said: mkuu hii nchi nako mvua huwa inanyesha? si kuna Jangwa la kutosha huko? Click to expand... Mpendwa hayo mafunzo ya Geographical kuwa mvua hainyeshi jangwani? " Yatatermka maji toka mbinguni kwa kadri maalum " maji yaangani hayana majira wa matabiriyo......!! hekima za moula (Mwenyeenzi Mungu apendaye)...
IGUDUNG'WA said: mkuu hii nchi nako mvua huwa inanyesha? si kuna Jangwa la kutosha huko? Click to expand... Mpendwa hayo mafunzo ya Geographical kuwa mvua hainyeshi jangwani? " Yatatermka maji toka mbinguni kwa kadri maalum " maji yaangani hayana majira wa matabiriyo......!! hekima za moula (Mwenyeenzi Mungu apendaye)...