Mafuriko na mjeshi wa Somalia!

Mafuriko na mjeshi wa Somalia!

chopeko

JF-Expert Member
Joined
Apr 23, 2012
Posts
1,527
Reaction score
1,112
attachment.php

Sijui hakupitia depo huyu!!
 

Attachments

  • 1397466138800.jpg
    1397466138800.jpg
    54.1 KB · Views: 1,094
Dooooh kumbe mkuu utafiti ameniwahi bwana!!! Peace
 
hapa nashindwa kumwelewa huju jamaa wa jwtz hivi ni kweli anabebwa badala ya yeye kutoa msaada kwa wananchii...au kwasababu ya hiyo kitu ya AK-47?
 
kwanza imekuwaje mjeda avae makobazi huku amebeba AK 47!!!!!! Usijekuta ni kijana wa kazi (jambazi) katoka mzigoni!
 
hapa nashindwa kumwelewa huju jamaa wa jwtz hivi ni kweli anabebwa badala ya yeye kutoa msaada kwa wananchii...au kwasababu ya hiyo kitu ya AK-47?

Acha uboya tangu lini ukaona JWTZ kala kombati na Sandals?
 
...loh mjeda mbendembende,chezeya maji weye....
 
hapa nashindwa kumwelewa huju jamaa wa jwtz hivi ni kweli anabebwa badala ya yeye kutoa msaada kwa wananchii...au kwasababu ya hiyo kitu ya AK-47
Sio jwtz huyo,toka uzaliwe ulishawahi muona jwtz kavaa sare au kombati na sandals!?

,,,h,,,
 
attachment.php
attachment.php
attachment.php
 

Attachments

  • 1397466138800.jpg
    1397466138800.jpg
    50.8 KB · Views: 865
  • 610x6d.jpg
    610x6d.jpg
    54.2 KB · Views: 843
  • Al_Shabaab_Fighter.jpg
    Al_Shabaab_Fighter.jpg
    22.8 KB · Views: 850
Picha yenyewe mwanajeshi gani wa Tanzania anavaa sandals mguuni? Sometimes watu Chopeko ni wa kupuuza. Nyambafu sana unaleta utani kwenye mambo muhimu?

Haha hiyo picha waasi wa congo mi ninayo hata kabla ya mafuriko dar!
 
sio JWTZ HUYU SIO STANDARD YA UVAAJI KOMBATI WALIYOFUNDISHWA,PILI HAKUNA LINDO LA MWANAJESHI AENDE URAIANI
 
Picha yenyewe mwanajeshi gani wa Tanzania anavaa sandals mguuni? Sometimes watu Chopeko ni wa kupuuza. Nyambafu sana unaleta utani kwenye mambo muhimu?

Pole Mjeda usitoke povu don't take it too seriously!!!!
 
Ukisikia mdebwedo ndo hii!! haijlishi ni wa Tanzania au wapi!
 
Back
Top Bottom