Mafuriko! Mafuriko!

Mafuriko! Mafuriko!

KANAL

Senior Member
Joined
Dec 26, 2012
Posts
112
Reaction score
66
Hivi tunaongea kuna mafuriko katika mji wa Kahama ,maji yamejaa kwenye majumba yaani kwa kifupi hali ni mbaya
 
Poleni sana watu wa Kahama. Kuna haja ya kuwa na mitaro ya maji ya uhakika katika mji wenu!
 
Duh poleni sana wakazi wa kahama,msitegemee jipya from this govt
 
Haya wale kina Getruda mko wapi kucomment. Zanzibar maduka yakiungua moto mnasingizia sababu ni uchomaji wa makanisa. Sasa hayo mafuriko sababu ni nini au makanisa yamemwagiwa maji huko kahama.
hehe imani bwana
 
Poleni wakazi wa KA-HA-MA mnasubiri nini KU-HA-MA?
 
Back
Top Bottom