Mafunzo ya mifugo na kilimo

MKT

Member
Joined
May 10, 2019
Posts
10
Reaction score
53
Mifugo Tz inawashukuru sana SUGECO kwa kuratibu mafunzo ya kwa #vijana yalio fadhiliwa na FAO(Food and Agriculture Organization)

Tunawashukuru kwa kutambua uwepo wetu Mifugo Tz na kutupa dhamana ya kuwafundisha #vijana #mafunzo ya #ufugaji bora wa kuku.

Hii moja ya utekelezaji wa sera ya kilimo yenye lengo la kuinua #uchumi na kupambana na tatizo la #ajira kwa #vijana - Tanzania.

#Kilimo na #mifugo ndio sekta ilyio ajiri #vijana wengi hivyo maboresho na utekelezaji wa sera ya #kilimo ndio njia rahisi ya kuwakwamua kijana kiuchumi.

Kupata huduma wasiliana nasi kupitia

simu:
+255 712 253 102(WhatsApp)
+255 765 291 489
+255 625 994 023

Email:
mifugotz@gmail.com

@mifugo_tz
@kilimo_tz
@afyakiganjani

#mifugo #mifugotz #kilimotz #kilimo #drkessyvet #kuku #broiler #tanzania l #bata #kuchi #kilimoufugaji #kilimanjaro #sungura #vifaranga #daktariwamifugo #afyakiganjaniView attachment 1101291View attachment 1101292View attachment 1101293
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…