Kijana asome, hilo ndilo la muhimu kwa sasa.
Nafasi za kujitolea zikitoka ataomba kupitia ofisi ya Mkuu wa wilaya huko ulipo.
Akikosa, mwakani majina ya Form Six yakitoka naye aende Makao Makuu ya JKT, Dodoma.
Wale wanavyopenda nguvu kazi, watamtupa kwenye kambi za kilimo. Akahenyeke huko.