Mtumiaji wa simu janja hii njoo unijuze zaidi kuhusu mfumo wake wa kulipia per day.. vp inawezekana kufanya maujanja tukaiflash au... Maana simu ya ram 1 na Gb 8 kwa bei ya 280000 sio mchezo hata kama unalipa kidogokidogo hii kampuni ya kichina naona inatupiga wabongo tu.
Umeliwa pakubwa sana hapo. Kama ni simu za kawaida ungenunua na change ingebaki mfano galaxy grand prime + ungepata change, infinix change ingerudi, tecnno etc
Mtumiaji wa simu janja hii njoo unijuze zaidi kuhusu mfumo wake wa kulipia per day.. vp inawezekana kufanya maujanja tukaiflash au... Maana simu ya ram 1 na Gb 8 kwa bei ya 280000 sio mchezo hata kama unalipa kidogokidogo hii kampuni ya kichina naona inatupiga wabongo tu.