Mafundi software na Watumiaji wa simu hii msaada wenu..

Kaplizer

JF-Expert Member
Apr 27, 2014
710
569
Mtumiaji wa simu janja hii njoo unijuze zaidi kuhusu mfumo wake wa kulipia per day.. vp inawezekana kufanya maujanja tukaiflash au... Maana simu ya ram 1 na Gb 8 kwa bei ya 280000 sio mchezo hata kama unalipa kidogokidogo hii kampuni ya kichina naona inatupiga wabongo tu.

images.jpg
 
Umeliwa pakubwa sana hapo. Kama ni simu za kawaida ungenunua na change ingebaki mfano galaxy grand prime + ungepata change, infinix change ingerudi, tecnno etc
 
Mtumiaji wa simu janja hii njoo unijuze zaidi kuhusu mfumo wake wa kulipia per day.. vp inawezekana kufanya maujanja tukaiflash au... Maana simu ya ram 1 na Gb 8 kwa bei ya 280000 sio mchezo hata kama unalipa kidogokidogo hii kampuni ya kichina naona inatupiga wabongo tu.

View attachment 1644087
Ushasikisia simu 1Gb ram na storage 8Gb sasa hiyo simu au maonyesho akuna kitu hapo yan umeibiwa mchana peupe
 
1 Reactions
Reply
Back
Top Bottom