Ninashida na CD ya Window 10 OG naweza pata???Kutana na mafundi wa uhakika wataalam wa kutengeneza kompyuta matatizo ya aina zote
Kariakoo mtaa wa msimbazi na aggrey
call: 0752367766
Ungeainisha aina ya pc ni laptop au desktop kompyuta, lakini nijuavyo GPU huwa iko integrated na processor sasa sidhani kama graphic inawezekana kubadishwa.Kwema humu nina kompyuta yangu imekufa graphic card naweza kupat
Nataka touchpad ya hp folio 9470 vp naweza pata na Sh ngapiKutana na mafundi wa uhakika wataalam wa kutengeneza kompyuta matatizo ya aina zote
Kariakoo mtaa wa msimbazi na aggrey
call: 0675378011
Karibu
ni desktopUngeainisha aina ya pc ni laptop au desktop kompyuta, lakini nijuavyo GPU huwa iko integrated na processor sasa sidhani kama graphic inawezekana kubadishwa.
Umejuaje kuwa kilichohalibika ni graphics card maana hii huwa iko integrated na cpu kubadilisha haiwezekaniki.ni desktop
Ungeainisha aina ya pc ni laptop au desktop kompyuta, lakini nijuavyo GPU huwa iko integrated na processor sasa sidhani kama graphic inawezekana kubadishwa.
shukran lakn sasa ntajuwaj version yakHii ni nvidia ambayo ni dedicated gpu, kama unataka kubadili inakubidi uijue version halafu unaweza kuitafuta mtandaoni aliexpress au k/koo