M myplusbee JF-Expert Member Joined Jul 8, 2016 Posts 3,612 Reaction score 6,161 Aug 11, 2019 Thread starter #21 Smart911 said: Wengi wanasema ni mazuri... na kwenye hotel nyingi ndiyo wanayotumia... Cc: mahondaw Click to expand... Naona raia wengi hapa wanayapa kudos!
Smart911 said: Wengi wanasema ni mazuri... na kwenye hotel nyingi ndiyo wanayotumia... Cc: mahondaw Click to expand... Naona raia wengi hapa wanayapa kudos!
Khantwe JF-Expert Member Joined Dec 20, 2012 Posts 61,578 Reaction score 126,110 Aug 11, 2019 #22 myplusbee said: I wish ningepata hii contribution kabla sijafanya maamuzi. Click to expand... Tatizo wewe unaona kwa vile mwanaume unaweza kufanya maamuzi tu bila kunishirikisha
myplusbee said: I wish ningepata hii contribution kabla sijafanya maamuzi. Click to expand... Tatizo wewe unaona kwa vile mwanaume unaweza kufanya maamuzi tu bila kunishirikisha
M myplusbee JF-Expert Member Joined Jul 8, 2016 Posts 3,612 Reaction score 6,161 Aug 11, 2019 Thread starter #23 Khantwe said: Tatizo wewe unaona kwa vile mwanaume unaweza kufanya maamuzi tu bila kunishirikisha Click to expand... We si nilikuuliza baby, tuchukue jokofu brand ipi lakini matokeo yake ukasema nikome kukuuliza uliza maswali ya kijnga 😢😭
Khantwe said: Tatizo wewe unaona kwa vile mwanaume unaweza kufanya maamuzi tu bila kunishirikisha Click to expand... We si nilikuuliza baby, tuchukue jokofu brand ipi lakini matokeo yake ukasema nikome kukuuliza uliza maswali ya kijnga 😢😭
Khantwe JF-Expert Member Joined Dec 20, 2012 Posts 61,578 Reaction score 126,110 Aug 11, 2019 #24 myplusbee said: We si nilikuuliza baby, tuchukue jokofu brand ipi lakini matokeo yake ukasema nikome kukuuliza uliza maswali ya kijnga [emoji22][emoji24] Click to expand... Haya ndio upambane na hali yako, siku nikihamia kwako hili nitampa mama
myplusbee said: We si nilikuuliza baby, tuchukue jokofu brand ipi lakini matokeo yake ukasema nikome kukuuliza uliza maswali ya kijnga [emoji22][emoji24] Click to expand... Haya ndio upambane na hali yako, siku nikihamia kwako hili nitampa mama
M myplusbee JF-Expert Member Joined Jul 8, 2016 Posts 3,612 Reaction score 6,161 Aug 12, 2019 Thread starter #25 Khantwe said: Haya ndio upambane na hali yako, siku nikihamia kwako hili nitampa mama Click to expand... Dah! Baby, hilo Sharp ni kali balaa, yaani lazima uniunge mkono kwa 119% kwamba nilifanya maamuzi sahihi sana!!
Khantwe said: Haya ndio upambane na hali yako, siku nikihamia kwako hili nitampa mama Click to expand... Dah! Baby, hilo Sharp ni kali balaa, yaani lazima uniunge mkono kwa 119% kwamba nilifanya maamuzi sahihi sana!!
Khantwe JF-Expert Member Joined Dec 20, 2012 Posts 61,578 Reaction score 126,110 Aug 12, 2019 #26 myplusbee said: Dah! Baby, hilo Sharp ni kali balaa, yaani lazima uniunge mkono kwa 119% kwamba nilifanya maamuzi sahihi sana!! Click to expand... Ooh sawa
myplusbee said: Dah! Baby, hilo Sharp ni kali balaa, yaani lazima uniunge mkono kwa 119% kwamba nilifanya maamuzi sahihi sana!! Click to expand... Ooh sawa
TUTUO JF-Expert Member Joined Dec 3, 2013 Posts 3,251 Reaction score 2,035 May 15, 2020 #27 Khantwe said: Ooh sawa, mimi nilinunua boss jeupe...sijawahi kujuta Click to expand... Bei gani wanauza la mlango mmoja? Sent using Jamii Forums mobile app
Khantwe said: Ooh sawa, mimi nilinunua boss jeupe...sijawahi kujuta Click to expand... Bei gani wanauza la mlango mmoja? Sent using Jamii Forums mobile app
Khantwe JF-Expert Member Joined Dec 20, 2012 Posts 61,578 Reaction score 126,110 May 15, 2020 #28 TUTUO said: Bei gani wanauza la mlango mmoja? Sent using Jamii Forums mobile app Click to expand... La mlango mmoja sikumbuki
TUTUO said: Bei gani wanauza la mlango mmoja? Sent using Jamii Forums mobile app Click to expand... La mlango mmoja sikumbuki