Wamuache rais Dkt Samia afanye kazi!Mwenyekiti wa Kamati ya Maadili, Amani na Haki za Binadamu kwa jamii ya madhehebu ya dini zote nchini, Askofu William Mwamalanga leo Jumapili ametoa siku tatu kwa ‘genge’ alilodai kuwa linamzonga Rais Samia Suluhu na kumlaghai mambo mbalimbali ikiwemo kuutetea mkataba mbovu wa uwekezaji katika bandari ya Dar es Salaam.
“Viongozi wa dini tunatoa siku tatu kwa genge hili linalokula bila kuvuna kuacha kumzonga Rais, la sivyo tutawaja majina wote kwa sababu tunawajua,” Askofu Mwamalanga - Dar
Source: MwanaHalisi Online
Wewe ni chawa wake lazima useme hivyoWamuache rais Dkt Samia afanye kazi!
Siyo mimi tu, ni watanzania wote kila kona ya nchi hii ni Dkt Samia tu!Wewe ni chawa wake lazima useme hivyo
Hamjawataja tuu Hadi saizi?Mwenyekiti wa Kamati ya Maadili, Amani na Haki za Binadamu kwa jamii ya madhehebu ya dini zote nchini, Askofu William Mwamalanga leo Jumapili ametoa siku tatu kwa ‘genge’ alilodai kuwa linamzonga Rais Samia Suluhu na kumlaghai mambo mbalimbali ikiwemo kuutetea mkataba mbovu wa uwekezaji katika bandari ya Dar es Salaam.
“Viongozi wa dini tunatoa siku tatu kwa genge hili linalokula bila kuvuna kuacha kumzonga Rais, la sivyo tutawaja majina wote kwa sababu tunawajua,” Askofu Mwamalanga - Dar
Source: MwanaHalisi Online
Huyo askofu ni mpuuzi mmoja tuMwenyekiti wa Kamati ya Maadili, Amani na Haki za Binadamu kwa jamii ya madhehebu ya dini zote nchini, Askofu William Mwamalanga leo Jumapili ametoa siku tatu kwa ‘genge’ alilodai kuwa linamzonga Rais Samia Suluhu na kumlaghai mambo mbalimbali ikiwemo kuutetea mkataba mbovu wa uwekezaji katika bandari ya Dar es Salaam.
“Viongozi wa dini tunatoa siku tatu kwa genge hili linalokula bila kuvuna kuacha kumzonga Rais, la sivyo tutawaja majina wote kwa sababu tunawajua,” Askofu Mwamalanga - Dar
Source: MwanaHalisi Online
Mwehu huyo,siku tatu izo ampe bbasha wake sio serikali hiiDuh
Katoa siku 3
Ngoja tusubiri tuone
Ova
Pengine ni mojawapo ya wana gengeWewe ni chawa wake lazima useme hivyo
Usizoee kutukana watu wa dini siku ukimtukana sheikh watatangaza fatwa, utakatwa shingo. Na hivi watu wetu wanakujaHuyo askofu ni mpuuzi mmoja tu
Hao ni matapeli tu,na nyinyi ndio mazuzu waoUsizoee kutukana watu wa dini siku ukimtukana sheikh watatangaza fatwa, utakatwa shingo. Na hivi watu wetu wanakuja
Labda mwanajeshi kapewa Ela ya vinywaji, bado leshen, na mshahara juu.Wewe ni chawa wake lazima useme hivyo
Acha uzuzu, CCM nambari moja!Labda mwanajeshi kapewa Ela ya vinywaji, bado leshen, na mshahara juu.
Umepata teuzi usiye zuzu?,Acha uzuzu, CCM nambari moja!
Sisi Chawa tunatetea Chama chetu cha Mapinduzi kwa moyo wa uzalendo hatuhitaji malipo kama vijana wa mboweUmepata teuzi usiye zuzu?,
umeona eeh, ndefuuuu...hahaaThere is no madhehebu ya dini zote....blah blah tu