habari yako haija kamilika.marehemu kama kafanya kazi posta basi obviously atakuwa mwanachama wa posta na simu saccos,pensionable na ppf,mikopo bank kama twiga nk.aisee kuna makato usiombe mm baba angu mdo alifariki mwaka juzi amefanya kazi tpc pesa iliyo pokelewa ni mil 2 laki 3 na kafanya kazi miaka 23.kufatilia nigagundua ktk tasisi xinaxolipa mshahara kidogo basi tpc..kwa marlezo zaid ni pm
wadau sisi mzazi wetu alikuwa mfanyakazi wa posta akafariki akiwa kazini...katika kufuatilia mirathi yake...shirika limesema wao hawatoi hata senti moja kama mafao ya marehemu...je hii ni kweli au ndo wajanja washafanya yao