Mabishoo huenda wizara ya chakula na kilimo kufanya kilimo kwenye makaratasi lakini kama wataka ujuzi, nenda taasisi za utafiti wa mazao kama kahawa, korosho, miwa, mazao ya mizizi. Google, andika taasisi ya utafiti wa zao husika. Miradi ya umwagiliaji n.k. zipo Arusha, moshi, mwanza, morogori, kibaha, mtwara n.kOTE="Patrick J Malema, post: 31429278, member: 535577"]
Habari Wakuu.....
kwa wenye uzoefu wenye detail au walio soma Kozi hii, naomba msaada kujua maeneo yakufanyia field.
[/QUOTE