M mge JF-Expert Member Dec 19, 2013 558 179 Apr 24, 2016 #1 Wana bodi sijui shida ni nini huku mwanza maeneo ya kona ya bwiru, kitangiri na bwiru yenyewe maji hamna toka jana... mwenye kujua atufahamishe.
Wana bodi sijui shida ni nini huku mwanza maeneo ya kona ya bwiru, kitangiri na bwiru yenyewe maji hamna toka jana... mwenye kujua atufahamishe.
Mr. MTUI JF-Expert Member Feb 18, 2013 8,130 8,362 Apr 24, 2016 #2 Unaongelea jana mi nilizani toka January
Afande Fojuman JF-Expert Member Sep 27, 2014 655 543 Apr 24, 2016 #3 fwateni maji ziwan mkuu, mbona ziwa lipo karb tu
IT PROFESSIONAL JF-Expert Member Mar 17, 2016 228 95 Apr 24, 2016 #4 mge said: Wana bodi sijui shida ni nini huku mwanza maeneo ya kona ya bwiru, kitangiri na bwiru yenyewe maji hamna toka jana... mwenye kujua atufahamishe. Click to expand... Mkuu subiri watakuja wenye dhamani baada ya kuogopa kutumbuliwa
mge said: Wana bodi sijui shida ni nini huku mwanza maeneo ya kona ya bwiru, kitangiri na bwiru yenyewe maji hamna toka jana... mwenye kujua atufahamishe. Click to expand... Mkuu subiri watakuja wenye dhamani baada ya kuogopa kutumbuliwa