Maendeleo yapi yanaelekea Kigamboni

Maendeleo yapi yanaelekea Kigamboni

Smartbeing

JF-Expert Member
Joined
Apr 7, 2014
Posts
323
Reaction score
425
Sijafanikiwa kusikiliza mipango toka kwa Mheshimiwa RC ihusuyo mkoa wa Dar na hasa Kigamboni, naomba aliesikiliza atoe update ya mipango specifically wilaya hiyo maana ndio kama bado iko nyuma ukilinganisha na wilaya zingine za Dar,
 
Hivi ile New City of Kigamboni iliishiaga wapi?mana miaka saba nyuma huko kulikuwa na ramani inayoonyesha jiji jipya la kigamboni ila sasa naona vululuvululu la buguruni,kiwalani,tandale nk linaendelea kama kawaida
 
Back
Top Bottom