Smartbeing
JF-Expert Member
- Apr 7, 2014
- 323
- 425
Sijafanikiwa kusikiliza mipango toka kwa Mheshimiwa RC ihusuyo mkoa wa Dar na hasa Kigamboni, naomba aliesikiliza atoe update ya mipango specifically wilaya hiyo maana ndio kama bado iko nyuma ukilinganisha na wilaya zingine za Dar,