mbotoki
JF-Expert Member
- Jan 27, 2015
- 268
- 116
Hivi Mradi wa BRT una msimamizi kweli?
Vipande vya
Magomeni - Ilala Boma.
Ilala Boma - Chang'ombe.
Chang'ombe - Mgulani.
TRL - Badari.
Bandari - Uhasibu.
Uhasibu - Kwa Aziz Aly.
Kwa Aziz Aly - Mbagala Mission.
Mbagala Mission - Rangi Tatu.
Nimeuliza tu kama kuna usimamizi, na kama usimamizi upo, vipi maendeleo yake?
Ila Hongera kwa utawala kwa kuruhusu baadhi ya maeneo hayo yaanze kutumika kabla hayajakamilika Mfano upande mmoja wa fly over za Veta na Uhasibu. (Hii ninadhani ni sababu ya kupunguza adha ya watumiaji, wala sio kujiimarisha na kujikosha kisiasa kama watu wanavyosema.)
Pia Muda wa kukamilika ambapo mradi ulitakiwa uishe na kukabidhiwa eti bado haujafika?
Au ndio inasubiriwa 2025 kama tulivyosikia kwa miradi mingine itazinduliwa wakati huo na ukomo wa kusuasua kwahudumanza umeme na Maji? (Hii nitaelewa ili kulinda kutumia fedha nyingi kwenye ma hafla ya ufunguzi, so mwaka huo miradi yoote itakamilishwa na ifunguliwe kwa mkupuo kwa budget kidogo)
Alafu eti mbona Makandarasi kuna kipindi inapita wiki nzima hatuwaoni site, zaidi ya walinzi tu? Alaf eti ile ya kufanya kazi mchana na usiku ili mambo kwenda fasta fasta Mbona imekoma tena? Jamani anayefahamu asininyime ufahamu na miye.
Heri ya Mwaka Mpya wananzengo.
Vipande vya
Magomeni - Ilala Boma.
Ilala Boma - Chang'ombe.
Chang'ombe - Mgulani.
TRL - Badari.
Bandari - Uhasibu.
Uhasibu - Kwa Aziz Aly.
Kwa Aziz Aly - Mbagala Mission.
Mbagala Mission - Rangi Tatu.
Nimeuliza tu kama kuna usimamizi, na kama usimamizi upo, vipi maendeleo yake?
Ila Hongera kwa utawala kwa kuruhusu baadhi ya maeneo hayo yaanze kutumika kabla hayajakamilika Mfano upande mmoja wa fly over za Veta na Uhasibu. (Hii ninadhani ni sababu ya kupunguza adha ya watumiaji, wala sio kujiimarisha na kujikosha kisiasa kama watu wanavyosema.)
Pia Muda wa kukamilika ambapo mradi ulitakiwa uishe na kukabidhiwa eti bado haujafika?
Au ndio inasubiriwa 2025 kama tulivyosikia kwa miradi mingine itazinduliwa wakati huo na ukomo wa kusuasua kwahudumanza umeme na Maji? (Hii nitaelewa ili kulinda kutumia fedha nyingi kwenye ma hafla ya ufunguzi, so mwaka huo miradi yoote itakamilishwa na ifunguliwe kwa mkupuo kwa budget kidogo)
Alafu eti mbona Makandarasi kuna kipindi inapita wiki nzima hatuwaoni site, zaidi ya walinzi tu? Alaf eti ile ya kufanya kazi mchana na usiku ili mambo kwenda fasta fasta Mbona imekoma tena? Jamani anayefahamu asininyime ufahamu na miye.
Heri ya Mwaka Mpya wananzengo.