Maelekezo kuhusu kubadili course UDOM

Maelekezo kuhusu kubadili course UDOM

ozadaxnowden

Member
Joined
Sep 27, 2016
Posts
11
Reaction score
17
Habari,nahtaji kufaham namna ya kubadlisha course chuo cha udom kwa waliochaguliwa mwaka huu.Asanten
 
na mm nataka kubadili tusaidien ntatoka eduu kwenda nursing na point nnazo
Hiyo transfer ya college moja kwenda nyingine huwa inasumbua hasa kwenye kuhamisha mkopo maana ada ya nursing ni kubwa kuliko ya education utasota mwaka mzima kubadilisha mkopo kuuweka sawa...tena itanidi ufuatilie mwenyewe makao makuu ya bodi ya mkopo...lakini pia hiyo transfer itategemea kama kutakuwa na nafas huko unapoenda na unaweza kulipa direct cost mara mbili pia so ujipange kijana maana direct cost ya afya na coed ni tofauti
 
Hiyo transfer ya college moja kwenda nyingine huwa inasumbua hasa kwenye kuhamisha mkopo maana ada ya nursing ni kubwa kuliko ya education utasota mwaka mzima kubadilisha mkopo kuuweka sawa...tena itanidi ufuatilie mwenyewe makao makuu ya bodi ya mkopo...lakini pia hiyo transfer itategemea kama kutakuwa na nafas huko unapoenda na unaweza kulipa direct cost mara mbili pia so ujipange kijana maana direct cost ya afya na coed ni tofauti

acha kumkatisha tamaa mwenzio, muache ajaribu wapo watu wengi tu walifanikiwa, kuhusu loan hapo itabid ajipange kuongez Pesa inayopungu huku akirajaribu fuatilia bodi
 
acha kumkatisha tamaa mwenzio, muache ajaribu wapo watu wengi tu walifanikiwa, kuhusu loan hapo itabid ajipange kuongez Pesa inayopungu huku akirajaribu fuatilia bodi
Nazan umemuelewa vibaya hana nia ya kumkatisha tamaa mkuu bali anampa ukwel halisi yeye ndo anatakiwa kuamua
 
acha kumkatisha tamaa mwenzio, muache ajaribu wapo watu wengi tu walifanikiwa, kuhusu loan hapo itabid ajipange kuongez Pesa inayopungu huku akirajaribu fuatilia bodi
Kwenye ukweli tunaambiana kijana kwanini nimpe moyo 100% then akakute vitu tofauti...lazima umuweke mtu katika mazingira ambayo atachagua mwenyewe
 
Habari,nahtaji kufaham namna ya kubadlisha course chuo cha udom kwa waliochaguliwa mwaka huu.Asanten
Transfer procedures UDOM
1 Utaenda utawala mkuu office ya DVC ARC au utawala wa college yako ofice ya DEAN OF SCHOOL utajieleza na kupatiwa form husika ya transfer
2 Hiyo form inasegemu za kujaza detail zako na sehem za recommendation utajaza kinachokuhusu na kuanza kuipeleka sehem inayofuata kama nilivoainisha chini hapa
3 Dean of school (coz unayotoka atajaza kama yupo tayar kukurelease au hayupo tayar na sababu atatoa with official stamp)
4 Dean of school (coz unayotaka kwenda atajaza kama yupo tayar kukupokea au hayupo tayar na sababu atatoa wth offcial stamp)
5 Principle of college ( hapa atajaza huyo princple wa college yako uliyochaguliwa kama yupo tayar kukurelease au hayupo tayar wth offcial stamp)
6 DVC ARC (hapa atajaza mtu husika wa utawala mkuu kwa mwakajana alikuwa prof MSOFE huyo akikubali bac wewe utakuwa umekubaliwa direct)
nb: katika kujaza hyo form lazima yule anae kupokea yaan coz unayohamia na huyo dvc arc wakubali kukuandikia recommended to transfer kama mmojawao atakuandikia not recommended bac hautaweza kuhama na pia ukumbuke hzo process ni chache lakin zinausumbufu mkubwa sana na kama utawala mkuu wanakatisha tamaa sana ila komaa kila kitubkinawezekana n wish you all the best
 
daaaah !hata mm nnazo zakutosha tu CCD pcb
tatizo sio wew kuwa na point hizo tatizo ni availability ya capacity na kukubaliwa hyo transfer hasa utawala mkuu sio rahisi kiivo unavodhani ni lazima ufungue moyo unywe maji mengi vinginevo unaweza ukafuatilia hyo transfer ad wenzio wanamaliza semester
 
tatizo sio wew kuwa na point hizo tatizo ni availability ya capacity na kukubaliwa hyo transfer hasa utawala mkuu sio rahisi kiivo unavodhani ni lazima ufungue moyo unywe maji mengi vinginevo unaweza ukafuatilia hyo transfer ad wenzio wanamaliza semester
duuuuuh!au nisiende kuripot kabisa
 
Back
Top Bottom