CtVKiLaZA
JF-Expert Member
- Sep 13, 2011
- 301
- 37
Hii imetokea jana Njia panda ya Kwenda Mbweni.
Huyu bazazi alifika pale kwa nia ya kuchukua bodaboda imupeleke JKT Mbweni.
Safari ikaanza, jamaa akawa anamsogelea sana dreva mpaka zero distance. Dreva akajua labda jamaa ni muoga wa bodaboda. Lakini jamaa aliendelea kumsogelea kwa nguvu. Dreva akamuliza vipi apunguze mwendo jamaa hakujibu.
Dreva akashituka akasimama gafla, ile kusimama jamaa akashuka akakimbia.
Aliogopa kumkimbiza na kuacha pikipiki barabarani. Dreva kujiangalia nyuma ya nguo zake amechafulia na manii.
Kweli u-camerun. Na pia ni tahadhari wa wengine pia.
Huyu bazazi alifika pale kwa nia ya kuchukua bodaboda imupeleke JKT Mbweni.
Safari ikaanza, jamaa akawa anamsogelea sana dreva mpaka zero distance. Dreva akajua labda jamaa ni muoga wa bodaboda. Lakini jamaa aliendelea kumsogelea kwa nguvu. Dreva akamuliza vipi apunguze mwendo jamaa hakujibu.
Dreva akashituka akasimama gafla, ile kusimama jamaa akashuka akakimbia.
Aliogopa kumkimbiza na kuacha pikipiki barabarani. Dreva kujiangalia nyuma ya nguo zake amechafulia na manii.
Kweli u-camerun. Na pia ni tahadhari wa wengine pia.