Maduka ya kupangisha

Maduka ya kupangisha

Kikombo

Member
Joined
Jun 29, 2012
Posts
60
Reaction score
48
Kwa wafanya biashara ya duka karibuni vipo vibanda vya kufanyia biashara vinapangishwa, eneo la Majohe kwa Baba issa karibu na ofisi ya CCM Majohe. Vimejengwa kisasa kabisa bei Tshs 50,000/= @ mwezi.
IMG_20170531_074902.jpg
 
Back
Top Bottom