Madudu ya Ufisadi Manispaa ya Ilala

PIA malipo ya leseni za makazi. Kodi ya kila mwaka imeandikwa mle kwenye leseni ila ukifika pale kulipia utasikia kodi imepanda sasa utalipia tsh. 22 kwa kila meta square lakini hapo hapo kiwango wanacho kutajia ulipie Ni tofauti Na maelezo Yao. PIA kulenew leseni ilikuwa Tsh. 5,000/= lakini sasa wanasema tsh. 10,000/= wakayi huo huo hiyo 10,000/= inakatuwa risiti mbili za 5,000/= nilivyo uliza imepanda lini wakasema sisikilizi bunge sheria zinabadilishwa kila siku, nikaomba Tangazo la kupanda kwa gharama hizo wakasema Mimi mkorofi nikaamua niondoke sasa naomba mnisaidie anae jua ukweli kuhusu Hilo.
 
ondoa shaka mkuu , maadam hii kitu imefika hapa utapata ufumbuzi , hivi unaweza kuwa na jina la huyo ofisa uliyeongea naye au hata wajihi wake ?
 
Watu wana roho ngumu mpaka 280 wanapiga duu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…