Chama cha mapindizi kimeendelea kufanya yale wengi wanayoyaona kama madudu na kubebana, hii imeonekana zaidi baada ya katibu mkuu jana kumpa likizo tena yenye malipo katibu mkuu wa nishati na madin bilia kuonyesha kwa dhati kuwa jambo hili ni la aibu na wizi. Na baadaya amesema kuwa anapisha uchunguzi kwani ni tuhuma tu ambazo haziaminiki wakati barua ya madudu yake ipo na imeanikwa hadi kwenye magazeti. Sijui hii serikali ilitaka ushahidi kutoka kwa malaika ndo iamin au nyerere afufuke ndo waamaini.
Mbaya zaidi ni pale wabunge walipopingwa marufuku kulijadili jambo hili ili kupisha vyombo husika vifanye kazi yake na kama kawaida ya watanzania mtu huyu atakutwa hana hatia. Na mbona Dowansi iliuzwa sualaa likiwa bado mahakamani?
Ya ricmond na lowassa yaliwacost sana kwenye uchaguzi wa 2010 sasa haya yatawanyima uongozi na waanze kukimbia mapema maana watashtakiwa kwa uzembe na kufungwa.
Mbaya zaidi ni pale wabunge walipopingwa marufuku kulijadili jambo hili ili kupisha vyombo husika vifanye kazi yake na kama kawaida ya watanzania mtu huyu atakutwa hana hatia. Na mbona Dowansi iliuzwa sualaa likiwa bado mahakamani?
Ya ricmond na lowassa yaliwacost sana kwenye uchaguzi wa 2010 sasa haya yatawanyima uongozi na waanze kukimbia mapema maana watashtakiwa kwa uzembe na kufungwa.