Madiwani Wa Chadema Na CCM Wamvua Madaraka Mwenyekiti Wa Halmashauri Wa Wilaya Ya Kyela

Ufipa-Kinondoni

JF-Expert Member
Jan 3, 2012
4,582
2,783
Madiwani wa CHADEMA na CCM wameungana na kumng'oa madarakani mwenyekiti wa halmashauri ya wilaya ya Kyela mkoani Mbeya kwa madai kuwa amekuwa akitumia madaraka yake vibaya, na kushindwa kuendesha vikao vya baraza kwa kufuata kanuni na taratibu.

Katika hali isio ya kawaida , mwenyekiti wa halmashauri ya wilaya ya Kyela Dr. Hunter Mwakifuna alipotaka kufungua kikao cha baraza la madiwani hao wakaungana pamoja kutoka chama pinzani cha CHADEMA na chama tawala cha Mapinduzi CCM na kususia kumsikiliza, huku wakiimba wimbo na kupiga makofi  mezani pasipo kukoma.

Baada ya kukosekana maelewano katika kikao hicho mwenyekiti wa halmashauri ya wilaya Kyela akasimamisha kikao kwa muda na kurejea baada ya dakika 15, ambapo wajumbe waalikwa walitolewa nje kupisha maamuzi ya kamati ya ulinzi na usalama , hata hivyo haikuzaa matunda hadi kikao kilipoahirishwa mpaka kitakapopangwa upya.

Kwa mjibu wa madiwani hao, mwenyekiti anadaiwa kuhusika na ubadhirifu wa fedha za miradi mbalimbali zikiwemo million 211, kushindwa kuendesha vikao kinyume na utaratibu, kutumia madaraka yake vibaya na kuwalinda viongozi wanaotuhumiwa kwa matumizi mabaya ya fedha.

Waandishi wa habari walipomhoji mwenyekiti Dr. Hunter kuhusu tuhuma hizo amesema kuwa  hazina ukweli kwa kuwa tume za uchunguzi wa madai hayo zilizoundwa zimebaini fedha kwa baadhi ya miradi zimepatiwa majibu na kwamba tuhuma zingine bado zinachunguzwa kwa kufuata sheria.
 
Madiwani wa CHADEMA na CCM wameungana na kumng'oa madarakani mwenyekiti wa halmashauri ya wilaya ya Kyela mkoani Mbeya kwa madai kuwa amekuwa akitumia madaraka yake vibaya, na kushindwa kuendesha vikao vya baraza kwa kufuata kanuni na taratibu.

Katika hali isio ya kawaida , mwenyekiti wa halmashauri ya wilaya ya Kyela Dr. Hunter Mwakifuna alipotaka kufungua kikao cha baraza la madiwani hao wakaungana pamoja kutoka chama pinzani cha CHADEMA na chama tawala cha Mapinduzi CCM na kususia kumsikiliza, huku wakiimba wimbo na kupiga makofi  mezani pasipo kukoma.

Baada ya kukosekana maelewano katika kikao hicho mwenyekiti wa halmashauri ya wilaya Kyela akasimamisha kikao kwa muda na kurejea baada ya dakika 15, ambapo wajumbe waalikwa walitolewa nje kupisha maamuzi ya kamati ya ulinzi na usalama , hata hivyo haikuzaa matunda hadi kikao kilipoahirishwa mpaka kitakapopangwa upya.

Kwa mjibu wa madiwani hao, mwenyekiti anadaiwa kuhusika na ubadhirifu wa fedha za miradi mbalimbali zikiwemo million 211, kushindwa kuendesha vikao kinyume na utaratibu, kutumia madaraka yake vibaya na kuwalinda viongozi wanaotuhumiwa kwa matumizi mabaya ya fedha.

Waandishi wa habari walipomhoji mwenyekiti Dr. Hunter kuhusu tuhuma hizo amesema kuwa  hazina ukweli kwa kuwa tume za uchunguzi wa madai hayo zilizoundwa zimebaini fedha kwa baadhi ya miradi zimepatiwa majibu na kwamba tuhuma zingine bado zinachunguzwa kwa kufuata sheria.
Sema madiwani wa cdm,tangu lini diwani wa ccm akawa na ubavu huo?
 
Hunter Mwakifuna ni Diwani wa kata ya Ipinda,sehemu ninayo toka
Milion 721 CAG katangaza kama hazijulikani alipo
Diwani wa kata ya Bondeni Mwangoloto ndiyo alileta mwongozo barazani ili kumuondoa na wote madiwani wameungana wamemuondoa!
Lkn Hunter ni rafiki mkubwa sana wa Waziri Mwakyembe so tunatarajia vurugu zaidi hapa
Week jana CCM ilijaribu kuwavua udiwani madiwani wanne wa kata za Katumba na Nginga nyumbani kwa Dr Mwakyembe bila mafanikio!
Hunter uwezo wake wa kuongoza ni mdogo sana!
 
Kwa vyovyote vile huyo Mwenyekiti wa halmashauri atakuwa ni Diwani wa ccm, maana hilo ndiyo kuna kichaka cha mafisadi
 
Kwanza
Madiwani wa CHADEMA na CCM wameungana na kumng'oa madarakani mwenyekiti wa halmashauri ya wilaya ya Kyela mkoani Mbeya kwa madai kuwa amekuwa akitumia madaraka yake vibaya, na kushindwa kuendesha vikao vya baraza kwa kufuata kanuni na taratibu.

Katika hali isio ya kawaida , mwenyekiti wa halmashauri ya wilaya ya Kyela Dr. Hunter Mwakifuna alipotaka kufungua kikao cha baraza la madiwani hao wakaungana pamoja kutoka chama pinzani cha CHADEMA na chama tawala cha Mapinduzi CCM na kususia kumsikiliza, huku wakiimba wimbo na kupiga makofi  mezani pasipo kukoma.

Baada ya kukosekana maelewano katika kikao hicho mwenyekiti wa halmashauri ya wilaya Kyela akasimamisha kikao kwa muda na kurejea baada ya dakika 15, ambapo wajumbe waalikwa walitolewa nje kupisha maamuzi ya kamati ya ulinzi na usalama , hata hivyo haikuzaa matunda hadi kikao kilipoahirishwa mpaka kitakapopangwa upya.

Kwa mjibu wa madiwani hao, mwenyekiti anadaiwa kuhusika na ubadhirifu wa fedha za miradi mbalimbali zikiwemo million 211, kushindwa kuendesha vikao kinyume na utaratibu, kutumia madaraka yake vibaya na kuwalinda viongozi wanaotuhumiwa kwa matumizi mabaya ya fedha.

Waandishi wa habari walipomhoji mwenyekiti Dr. Hunter kuhusu tuhuma hizo amesema kuwa  hazina ukweli kwa kuwa tume za uchunguzi wa madai hayo zilizoundwa zimebaini fedha kwa baadhi ya miradi zimepatiwa majibu na kwamba tuhuma zingine bado zinachunguzwa kwa kufuata sheria.
Marekebisho kwanza huyo sio Dr bali ni Rural medical assistant,alikuwa mganga msaidizi kule Ipinda.Halafu kichwa cha habari na habari yenyewe ni tofauti mimi nilifikiri tayari kavuliwa uongozi ,kumbe bado ni mazingaombwe.Mtamukumbuka Kipija pamoja na majungu yenu
 
Huyo jamaa na wenzake wanne wanatumiwa na mwakyembe kuiba mali na pesa za wananchi!!
Tuliopo na tunaozunguka mbeya tunajua!!
 
Madiwani wa CHADEMA na CCM wameungana na kumng'oa madarakani mwenyekiti wa halmashauri ya wilaya ya Kyela mkoani Mbeya kwa madai kuwa amekuwa akitumia madaraka yake vibaya, na kushindwa kuendesha vikao vya baraza kwa kufuata kanuni na taratibu.

Katika hali isio ya kawaida , mwenyekiti wa halmashauri ya wilaya ya Kyela Dr. Hunter Mwakifuna alipotaka kufungua kikao cha baraza la madiwani hao wakaungana pamoja kutoka chama pinzani cha CHADEMA na chama tawala cha Mapinduzi CCM na kususia kumsikiliza, huku wakiimba wimbo na kupiga makofi  mezani pasipo kukoma.

Baada ya kukosekana maelewano katika kikao hicho mwenyekiti wa halmashauri ya wilaya Kyela akasimamisha kikao kwa muda na kurejea baada ya dakika 15, ambapo wajumbe waalikwa walitolewa nje kupisha maamuzi ya kamati ya ulinzi na usalama , hata hivyo haikuzaa matunda hadi kikao kilipoahirishwa mpaka kitakapopangwa upya.

Kwa mjibu wa madiwani hao, mwenyekiti anadaiwa kuhusika na ubadhirifu wa fedha za miradi mbalimbali zikiwemo million 211, kushindwa kuendesha vikao kinyume na utaratibu, kutumia madaraka yake vibaya na kuwalinda viongozi wanaotuhumiwa kwa matumizi mabaya ya fedha.

Waandishi wa habari walipomhoji mwenyekiti Dr. Hunter kuhusu tuhuma hizo amesema kuwa  hazina ukweli kwa kuwa tume za uchunguzi wa madai hayo zilizoundwa zimebaini fedha kwa baadhi ya miradi zimepatiwa majibu na kwamba tuhuma zingine bado zinachunguzwa kwa kufuata sheria.


Kikao kimeahirishwa hakuna maelewano heading inasomeka amevuliwa madaraka du.
 
Hii hata wabunge wa upinzani wakifanya bungeni Magufuli na Makonda wake wanamchomoa vizuri sasa.
 
Hunter Mwakifuna hajawahi kuwa Daktari bali ni medical assistant mwenye uwezo wa kukamua vijipu uchungu tu , namfahamu sana .

Kingine ni kwamba kuanguka kwa Mwakifuna ni kama kuanguka kwa Mwakyembe ambaye ni waziri wa sheria , huyu ndio ilikuwa ngozi yake , ngozi ikitoka itabaki nyama tupu .

Mwisho - bila kukamatwa huyu fisadi Hunter Mwakifuna hii move yote itakuwa bure kabisa .

Niko tayari kuchangia fedha za kuwezesha mchakato wa kumfikisha mahakamani , tuwasiliane .
 
Hunter Mwakifuna ni Diwani wa kata ya Ipinda,sehemu ninayo toka
Milion 721 CAG katangaza kama hazijulikani alipo
Diwani wa kata ya Bondeni Mwangoloto ndiyo alileta mwongozo barazani ili kumuondoa na wote madiwani wameungana wamemuondoa!
Lkn Hunter ni rafiki mkubwa sana wa Waziri Mwakyembe so tunatarajia vurugu zaidi hapa
Week jana CCM ilijaribu kuwavua udiwani madiwani wanne wa kata za Katumba na Nginga nyumbani kwa Dr Mwakyembe bila mafanikio!
Hunter uwezo wake wa kuongoza ni mdogo sana!
Akifanya mchezo Mwakyembe ataunganishwa kwenye huo wizi , kyela haitaki ujinga .
 
Back
Top Bottom