0715591141....nicheki mkuuJamani mambo VP? Ninayo madini ya quartz nauza kilo 100000
Cheki zangu mimi,hii ni nusu na robo uzito nliuza bei kwa kg 30000/Jamani mambo VP? Ninayo madini ya quartz nauza kilo 100000
Naomba kamojaHuo mzigo auna nyuzi ataaa peee
Hahahahahaha....aya bhanaNaomba kamoja
Au nitakupunguzia kilo ?
Ee! Tan itafika kweli if kamoja katatoka...huhuhuHahahahahaha....aya bhana
Uko wapi nije kuchukua ?Hahahahahaha....aya bhana
Quartz ya kondoa hiyo kama sijakosea...mkuu nko sahihiHuo mzigo auna nyuzi ataaa peee
Wadau nina wazo! Vipi tukianzisha whatsap group kwa ajili ya madini tu! Tuweze kubadilishana habari za mbalimbali za madini mfano uhitaji/soko, machimbo, bei n.k.Habari za weekend wadau, nauza madini ya Quartz, 180000/- kwa kilo. Ni PM kwa mawasiliano zaidi.
Afu mwishowe mkishapata namba za watu muanze kukamata watu wanaouza madini kinyemela kwa case za kuhujumu uchumi eeh?Wadau nina wazo! Vipi tukianzisha whatsap group kwa ajili ya madini tu! Tuweze kubadilishana habari za mbalimbali za madini mfano uhitaji/soko, machimbo, bei n.k.
Hilo nalo ni la kuzingatia! Vipi tukiangalia kwa upande wa faida?Afu mwishowe mkishapata namba za watu muanze kukamata watu wanaouza madini kinyemela kwa case za kuhujumu uchumi eeh?
Kwenye magroup watu hawako serious....Wadau nina wazo! Vipi tukianzisha whatsap group kwa ajili ya madini tu! Tuweze kubadilishana habari za mbalimbali za madini mfano uhitaji/soko, machimbo, bei n.k.
Ni wazo zuri! Basi tuaalikane kwenye uzi huu au tuandae uzi/title nyingine itakayohusu madini kwa ujumla.Kwenye magroup watu hawako serious....
Kama nondo tutapeana humu humu Jf tu
Ova
We unafanya biashara hii,je unauzoefu wa Aina gani ya madini ambayo unaweza kuyapata?Ni wazo zuri! Basi tuaalikane kwenye uzi huu au tuandae uzi/title nyingine itakayohusu madini kwa ujumla.