Madini Ya Kopa Yanauzwa

Parata

JF-Expert Member
Joined
Jul 26, 2011
Posts
3,090
Reaction score
692
Madin Ya Kopa Yanauzwa, Karibu
 
1.yako wapi
2.copper hiyo ina % ngapi
3.copper hiyo ni kiasi gani(yaanI tani ngapi)
ungewatolea maelezo hayo......watu
ila jaribu kuwatafuta hawa jamaa wa lora intanational walikuwaga mikocheni kwa warioba walikuwa wananunua sana copper
 
wakuu hivi copper si ndio shaba au!? mleta tangazo weka picha
 
wakuu hivi copper si ndio shaba au!? mleta tangazo weka picha
naona wadau wamepotea na mzigo wao... kama kuna vitalu vya uchimbaji basi watushirikishe... na sie tupate hiyo fursa kama hawataki kutuuzia mzigo...
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…