Sijui kwa nini pamoja na kujua kanuni hii ulimi unakuwa mzito. Mimi siyo mtaalamu wa kiswahili ni mtumiaji tu- juzi juzi nikiwa nawasilisha mada fulani mahali nikataka kusema kwa kiswahili - Please think of targets for each objective. Pamoja na kujua kanuni hii nilishindwa ulimi ulikuwa mzito.... niltakiwa nisemje ili wanielewe vizuri kama nilivyoiweka kwa kidhungu?
naomba mnikwamue hapo