Madhara ya mtoto kuanza shule za boarding akiwa na umri mdogo

Akili Unazo!

JF-Expert Member
Feb 18, 2009
3,930
4,893
No motor vehicle anymore.

Hakika kwa sasa imekuwa ni kasumba sana wazazi kuwapeleka watoto wao shule za boarding wangali wadogo sana. Hii hupelekea kuleta madhara makubwa sana na ndiyo yanayopelekea mmonyoko wa maadili hasa katika mazingira tunayoyaishi.

Parental intouchment kwa mtoto huongeza uwezo wa mtoto kufahamu nguzo za familia. Na huongeza uwezo wa mtoto kujua majukumu ya wazazi wake. Pia humjengea kuwa mzazi kwa familia yake huko baadae.

Lakini wazazi kwa kutokujua tunayoyajenga kwa watoto wetu huko mbele tumekuwa tukiwapeleka watoto shule za boarding ambapo kwa uchache tu yafuatayo yamekuwa ni madhara makubwa.

Kuongezeka kwa ushoga na usagaji
Watoto waliopitia shule za boding katika umri mdogo kushindwa kuwa na heshima kwa wazazi na hata walio wazidi umri.

Kushindwa kuwa walezi wazuri wa familia zao kwa kuwa wameshafundishwa kuwa mtoto anaweza kukua hata asipokuwa lkaribu na wazazi wake ili mradi uwe na hela.

Walio wengi hawana uvumilivu kwenye mahusiano yao. Kundi hili ndilo linaloongoza kuvunja mahusiano yao ( ndoa).

Hawana upendo wa kweli kwa watoto wao. Yaani kundi hili kumuona anakesha bar hadi usiku wa manane huku watoto wake wako pekee yao nyumbani haoni shida.

Ndiyo wanao ongoza kwa ulevi wa kupindukia kwa kuwa they do see any importance ya kukaa nyumbani.

Unaweza ongeza na wewe, ila tufundishane kuwalea watoto wetu mpaka wafike umri wa miaka at least 7.
Hakuna jambo zuri kama kumlea mtoto wako mwenyewe kuanzia uchanga wake hadi kufikia ukubwa.
 
Wa kwangu kumpeleka boarding hadi afikishe miaka 14. Madhara ya kuwahisha watoto boarding ni mengi tu, tena ni short term na long term effect. wanaathirika hata kisaikolojia na baadae wanashindwa kuwa viongozi au watumishi wazuri katika jamii.
 
Wa kwangu kumpeleka boarding hadi afikishe miaka 14. Madhara ya kuwahisha watoto boarding ni mengi tu, tena ni short term na long term effect. wanaathirika hata kisaikolojia na baadae wanashindwa kuwa viongozi au watumishi wazuri katika jamii.
Kabisa.. Kumpeleka Mtoto shule za boarding wala siyo kwamba ni ishara ya kuwa na uwezo ila kuonyesha Jinsi Gani ambavyo hatuna responsibility traits at all...
 
Kabisa.. Kumpeleka Mtoto shule za boarding wala siyo kwamba ni ishara ya kuwa na uwezo ila kuonyesha Jinsi Gani ambavyo hatuna responsibility traits at all...
Wengine wapo (wazazi au walezi) wanakwepa majukumu yao tu. unakuta mtoto mdogo kabisa hajui hata kujisaidia bila kupewa msaada anapelekwa boarding -analelewa siku nzima aubuhi hadi jioni na watu baki. kisingizio eti kazi. hata kama kazi zikizidi namna gani au hata huna mda wa kukaa nyumbani weka mtumishi (hosegirl wanahusika) akusaidie kulea mtoto, ni bora zaidi kuliko mtoto wa kulelewa kwenye taasisi au mashule, wanakuwa sawa na yatima tu
 
Dar imejaa shule nyingi kweli za Day
Ukimpeleka boardign huko ndio unamfundisha matusi yote
 
Ujinga na stereotype tu.unakuta po Marketing , mke wako ni Muhasibu,
Tunakutana usiku sana na mtoto amelala..
Niambie huyo mtoto anakaa na dada masaa mawili matatu analala baada ya kufanya homework
Mnamlea huyo mtoto saa ngapi????
Kuendekeza Uzamani tu
 
- Ulimzalia nini kama wampeleka boarding akiwa na miaka 2 mpaka 10, ina maana hautakaa naye milele, sasa huyo anakuwa na malezi yenye wasiwasi! wangu mpaka high school, nilishaamua kabisa kabisa, hata high school bado nawaza!
 
Ujinga na stereotype tu.
Mimi nipo Marketing , mke wangu ni Muhasibu,
Tunakutana usiku sana na mtoto amelala..
Niambie huyo mtoto anakaa na dada masaa mawili matatu analala baada ya kufanya homework
Mnamlea huyo mtoto saa ngapi????
Kuendekeza Uzamani tu

Kweli, usimzae then, kama unaona ufahari na hizo ratiba zako na mke wako, then kaeni bila mtoto!!!
 
kupeleka watoto boarding wakiwa na umri mdogo ni kuongeza tu idadi ya mashoga, nakumbuka enzi zangu tulikua na mtoto fulani somebody Tesha mtoto alikua akifirwa hatari yani ikifika muda wa prepo ukienda bafuni unakuta harufu ya mavi tu nilipofanya uchunguzu nikagungua aliianza maisha ya boarding tokea akiwa P2 so bandits took advantage of it!
 
Mzazi anayetetea kumpeleka mtoti boarding before the age of 14 yrs ujue yeye ni tatizo na wala hajitambui km ana tatizo. Watoto ni first priority. Sasa tunajali fedha kuliko watoto eti tunasingizia kazi. Wewe umekuwa surrogate parent? Umemzalia nani? Tumepotosha maana halisi ya maisha.
 
Ujinga na stereotype tu.
Mimi nipo Marketing , mke wangu ni Muhasibu,
Tunakutana usiku sana na mtoto amelala..
Niambie huyo mtoto anakaa na dada masaa mawili matatu analala baada ya kufanya homework
Mnamlea huyo mtoto saa ngapi????
Kuendekeza Uzamani tu
Kijana, Mimi Ukiniitra kwenye Interview na Ukaona Mimi Nafaa kukutumika My Brother the first thing I will Put forward ni ratiba isiingiliane na Family Issue. Yaani Nitumie as you can kwa Muda tuliokubaliana na Usiletee unneccesary excuse kuwa kutakuwa na late working hours.

Nimesoma kumtumika Mwanangu na Whoever aliyopo home, They also need me na ndiyo Maana ILO wakasema normal working hours should not exceed 45hours in a Week.

Sasa wewe unayehitaji na kudevote kufanya Massa mengi ilhali una Watoto wanaokuhitaji jiangalie upya. Family shold be your first Priority Mazee.
 
Ujinga na stereotype tu.
Mimi nipo Marketing , mke wangu ni Muhasibu,
Tunakutana usiku sana na mtoto amelala..
Niambie huyo mtoto anakaa na dada masaa mawili matatu analala baada ya kufanya homework
Mnamlea huyo mtoto saa ngapi????
Kuendekeza Uzamani tu
Hujui unachokiongea yamkini na wewe uko kwenye kundi hilo unathamini kazi kuliko mtoto a u mentally fit,

Lazima ujue katika hali hiyo mtazalisha Watoto wasiowasaidia kabisa


Jipangane utakuwa na magari kila mmoja 10,10

Na Watoto wwnye malezi feki

Sura za kwenu ,tabia za USA ushoga pole sana
 
Mimi naona kumpeleka mtoto shule za bording chini ya umri wa miaka 14 ni kukwepa majukumu tu, sasa unakuta mtoto mwenyewe anaepelekwa hizo shule anajinyea chakula chenyewe anapewa eti unang'ang'ana na bording!!
 
Hujui unachokiongea yamkini na wewe uko kwenye kundi hilo unathamini kazi kuliko mtoto a u mentally fit,

Lazima ujue katika hali hiyo mtazalisha Watoto wasiowasaidia kabisa


Jipangane utakuwa na magari kila mmoja 10,10

Na Watoto wwnye malezi feki

Sura za kwenu ,tabia za USA ushoga pole sana
Hisia tu...maisha ni pesa we jichekeleshe tu humu na kuangalia watoto kama yaya
 
Back
Top Bottom