Madhara ya kuvaa chupi

Juzi mmesema tusivae skintight tukawasikiliza,mkasema hata shumizi tusivae kabisa tuvae chuppi tu
LEO TUSIVAE CHUPI KABISA? Hivi zaidi ya suruali ni nguo gani haswa ya kazini unaivaa hvyo hvyo bila chochote ndani?
JAMANI AU MNADHANI WOTE TUNASHNDA NYUMBANI
 

Vaeni boxer
 

hivi kuna suruali mnavaa bila kyupi?
 
sasa mbona kuna wakati hii kitu inasimama na ukute uko njiani na umechomekea? Bukta haizuii kusimama. Kifanyike nini?
 
Hapo pa kwenda job bila chupi ndo pagumu,pengine kote nisha comply,
Nmeshazoea nguo zisizobana na kutovaa miguo mingi ili upepo upite,na Kuna joto karreeee mno saiv Dar
 

Em imagine umetupia kagaun Kako ofisini bila kyupii,mhhh ngumu kumeza
 
Mi najisikiq huru kama sina sijavaa chupi. Kwahiyo huzivaa mchana tu..usiku niko mweupe kabisa.
 
Chupi ni muhimu kwa mwanamke inamlinda na vitu mbalimbali kuingia ukeni na pia vinavyotoka Uke ulivyoumbwa umekaa wazi kwa hiyo mwanamke anaweza kupata discharge mbalimbali mfano anaweza akatokwa na majimaji Chupi inamsaidia sana mwanamke ila mwanaume usijaribu kabisa kuvaa chupi liache Dushe lijidaidai
 
Kwa wanawake mhh itakuwaje kwa wale wanaopata hedh kwa ghafla alafu awe hajavaa chup inakuwaje
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…