Ghamoghi
UTI haisababishwi na chupi au ukosefu wa usafi kwa mwanamke tu. Maumbile ya mwanamke na vyoo wanavyotumia vinaweza vikawa vichocheo.
Mwanamke analazimika kuvaa chupi kwa sababu ya maumbile yake japo sio kila wakati.
Ushauri mzuri ni kuwaomba wavae chupi za cotton na ziwe zinakauka vizuri. Lakini wavae wakiwa wamejikausha.
Ila point ya kusema chupi inazuia wanaume tusipate haki yetu kwa wakati sio kweli. Mimi napenda nitoe mwenyewe. Sasa wewe una haraka gani mpaka utake itolewe kabisa, au zitatoka kabla ya tendo🙂