Kalobiz Member Joined Jul 6, 2013 Posts 5 Reaction score 0 Dec 20, 2014 #1 Hiv kuna madhara gan kutumia simu ikiwa iko chaji kwa hizi smartphone mfano hii phatom Z
Magnificient JF-Expert Member Joined Aug 8, 2013 Posts 1,177 Reaction score 733 Dec 20, 2014 #2 Hongera kwa kutupa taarifa kwamba unamiliki phantom z
M Mapya Yaja JF-Expert Member Joined Feb 8, 2013 Posts 560 Reaction score 403 Dec 20, 2014 #3 Baadhi betri inakuwa over temperature na inakulazimu utoe betri ipoe kwanza ndio uichaji.
chaUkucha JF-Expert Member Joined May 28, 2012 Posts 3,382 Reaction score 1,220 Dec 20, 2014 #4 ni hatari sio tu ukiwa unachaji hata ikiwa na bar moja then ukawa unaongea ni hatari kunakuwa na mionzi mikali sana so inaweza kulipuka be careful
ni hatari sio tu ukiwa unachaji hata ikiwa na bar moja then ukawa unaongea ni hatari kunakuwa na mionzi mikali sana so inaweza kulipuka be careful
O Offline User JF-Expert Member Joined Dec 20, 2010 Posts 3,828 Reaction score 2,395 Dec 20, 2014 #5 inasababisha utasa
yahoo JF-Expert Member Joined Sep 9, 2011 Posts 3,526 Reaction score 1,410 Dec 20, 2014 #6 braza umenunua phantom z?! hongeraaaaaaaaaaaaaaa
Tayana-wog JF-Expert Member Joined Feb 26, 2012 Posts 28,870 Reaction score 37,644 Dec 20, 2014 #7 Hahahaa haaaa
Hunyu JF-Expert Member Joined Aug 19, 2014 Posts 4,774 Reaction score 4,339 Dec 20, 2014 #8 Hongera sana kwa kununua Phantom Z. Ikiwa charge hakikisha una chupa ya maji ya kilimanjro kribu, ikichemka unaimwagia kidogo.
Hongera sana kwa kununua Phantom Z. Ikiwa charge hakikisha una chupa ya maji ya kilimanjro kribu, ikichemka unaimwagia kidogo.
Ngurubhe JF-Expert Member Joined Jul 26, 2014 Posts 1,840 Reaction score 1,049 Dec 20, 2014 #9 Phatom inafanana na python kwan mbona mnamsifia sana ....kama hajui madhara yakemuache atumie akiyaona ndio atakuja kuwa mwalim wetu mzr
Phatom inafanana na python kwan mbona mnamsifia sana ....kama hajui madhara yakemuache atumie akiyaona ndio atakuja kuwa mwalim wetu mzr
Magnificient JF-Expert Member Joined Aug 8, 2013 Posts 1,177 Reaction score 733 Dec 20, 2014 #10 chaUkucha said: ni hatari sio tu ukiwa unachaji hata ikiwa na bar moja then ukawa unaongea ni hatari kunakuwa na mionzi mikali sana so inaweza kulipuka be careful Click to expand... "Mionzi mikali sana"..... .. Hapa umetuongopea, japo kuwa physics ulisoma peke yako na kwa gharama zako mwenyewe
chaUkucha said: ni hatari sio tu ukiwa unachaji hata ikiwa na bar moja then ukawa unaongea ni hatari kunakuwa na mionzi mikali sana so inaweza kulipuka be careful Click to expand... "Mionzi mikali sana"..... .. Hapa umetuongopea, japo kuwa physics ulisoma peke yako na kwa gharama zako mwenyewe
Ok9 JF-Expert Member Joined Oct 5, 2013 Posts 4,556 Reaction score 4,162 Dec 20, 2014 #11 bado had leo unakomaa na tecno.... tena phantom.... adilika
JF Member JF-Expert Member Joined Dec 14, 2014 Posts 8,202 Reaction score 11,351 Dec 21, 2014 #12 Hapa kama hamtagusa swala la madhala katika kizazi/uzazi hataacha.. haya zinapunguza nguvu za uzazi...:laser: >>>> Ila joto huwa kubwa na hufanya betri ya simu yako kumaliza chaji mda mfupi, mara kwa mara,
Hapa kama hamtagusa swala la madhala katika kizazi/uzazi hataacha.. haya zinapunguza nguvu za uzazi...:laser: >>>> Ila joto huwa kubwa na hufanya betri ya simu yako kumaliza chaji mda mfupi, mara kwa mara,
super_gangster Member Joined Dec 2, 2014 Posts 53 Reaction score 7 Dec 21, 2014 #13 Magnificient said: Hongera kwa kutupa taarifa kwamba unamiliki phantom z Click to expand... Hahahha Dah hongera na Wewe
Magnificient said: Hongera kwa kutupa taarifa kwamba unamiliki phantom z Click to expand... Hahahha Dah hongera na Wewe
Egwugu JF-Expert Member Joined Mar 16, 2011 Posts 17,558 Reaction score 8,552 Dec 21, 2014 #14 Kansa ataugua mwanao ila wewe utapona