Madhara ya kutofanya mapenzi

Madhara ya kutofanya mapenzi

Wewe nae bana ebu kuwa makini, kufanya mapenzi ni tofauti na kugegedana. waweza kuwa na mapenzi na ndg, paka , mbwa na lkn siyo kuwagegeda mfyuuuuu!
 
Unaeza Nyonyoka nywele,kuharisha mfululizo,kutokwa na Jasho lita20 hasa usiku,kutokwa na ukurutu hasa kwenye ulimi pia kwa wanawake wanaeza kuota Uchebe(ndevu)na manyoya kifuani(Garden love)...Kwahyo chunga sana,Fanya mapenzi ata mala7 kwa siku Chaliangu.
 
Usiwadanganye wenzio, wasifaidi mbona wabongo hamkomi kuwa na roho mbaya?

KUFA KAMA MUWA NI KUJITAKIA. MAUTAMU KIBAO! HATA MUNGU HAPENDI
Mbona povu, kuna mahali nimesema mtu asifanye? Nimejibu swali kama lilivyoulizwa
 
Mbona povu, kuna mahali nimesema mtu asifanye? Nimejibu swali kama lilivyoulizwa
Hahahaha nimekusukumia kisanga,,Chalii badala a'reply kwangu kakuletea vanga wewe!hehehe pambana nae tu mamiloo.
 
Back
Top Bottom