emanuel joseph
Member
- Jan 4, 2014
- 35
- 11
Habar wana jamvi ,
Naomba kuuliza ni madhara gani mtu anaweza kuyapata endapo mtu atalala kwa muda mfupi kwa mfano mimi huwa nalala masaa mawili 2 tuu kwa siku
Naomba kuuliza ni madhara gani mtu anaweza kuyapata endapo mtu atalala kwa muda mfupi kwa mfano mimi huwa nalala masaa mawili 2 tuu kwa siku