Fidel80
JF-Expert Member
- May 3, 2008
- 21,947
- 4,445
Wananikera sana hawa madereva wa magari utakuta mtu upo na pikipiki na right side lakini jamaa/mwanamke amekuona kabisa unakuja yeye anakuchomekea ukimfuata na kumwambia vp mbona hivyo anakujibu kwani mm nilikutuma ununue pikipiki anafunga kio na kutambaa sio vizuri hivyo acheni dharau sio wote wanao panda au kutumia pikipiki hawana magari wanayo sana tu ila wanakwepa foleni.