Madereva wa daladala jijini Dar es Salaam wanastahili pongezi

 
Naonaga pale makumbusho daladala za ubungo-makumbusho via chuo kikuu road wanayapaki utafikiri wewe unavyoweka mche wa sabuni kwenye box lenye miche mingine.
Yaani anaipeleka mbele then anairudisha riverse kwenye nafasi ya kutosha gari moja tu, upana rula, hapo kwa kuangalia side mirror tu.
 
 
SIo tatizo kuwa taratibu mkuu. Ila mtu unakaa katikati ya lanes unazuia hata wenzak kupita? Zanzibar ukiendesha gari kwa ustaarabu, una chance kubwa ya kupata ajali kuliko ukiendesha kama mwendawazimu. Mimi mtu akikaa mbele yangu kizembe huwa namfanyia fujo mpaka anakaa pembeni mwenyewe
 
Muda wanaolala na wanaoamka mimi hoi.

Saa 6usiku-10 alfajiri macho
.

Nadhani huwa wakilala wanasikia milio ya engene tu

Kondakta mmoja alipolala akawa anaota. We denti shuka! (akamshusha mwanafunzi) halafu akapiga bodi ya gari, Endesha suka!

Kumbe kwa kuweweseka ndotoni, alimshusha kitandani mtoto wake mchanga, na kumpiga mkewe kofi mgongoni.

H/T: Kibonzo cha "Bi-Mkora"
 
Mkuu nadhani wewe dar utakuwa unakuja na kuondoka....usichokijua ni kwamba hao jamaa wana butuana sana ila kesi zao azimalizi dakika 5 barabarani washazimaliza kwani wengi wao wanafahamiana.
 
Kila siku ninapita NIT bila shaka nimeshakuwa dereva mzuri
Unapita ila hujapata cheti.. Bado hujakamilisha sifa ya kuwa dereva mzuri pasipo kuthibitishwa na NIT.. Kalipe ada ujiunge na mafunzo.. Itakusaidia kuiendesha kwa usalama familia yako iwapo hutofanya kazi ya udereva kama ajira!
 
 
kesi wanamaliza fasta ila tukio halifichiki MKUU.
Mkuu nadhani wewe dar utakuwa unakuja na kuondoka....usichokijua ni kwamba hao jamaa wana butuana sana ila kesi zao azimalizi dakika 5 barabarani washazimaliza kwani wengi wao wanafahamiana.
 
Hivi mnaijua ligi ya gari za gongo la mboto- Masaki!!!! Ama mbagala kawe""

Uwiii hizi icha!!!!!Na Tata""" utazan zinaenda mkoa""""
Nimekuwa abiria wa Mbagala miaka 10,
Sijawahi pata ajali kwenye gari yeyote ya ruti ya mbgla.
Ukiacha tu uabiria wa Mbgl,Nimepanda daladala Dar, miaka yote sijawahi kupatwa na ajali ktk daladala nililopanda.
Wasifiwe tu hawa jamaa wanastahili.
Japo ajali zipo ila ni chaaaache sana.
 
 
Ni kweli Madereva wa Daladala Dar es salaam Wanàstahili Pongezi. Nikiwakumbuka waendeshao Eicher wanavyopita Kariakoo penye msongamano wa watu, Magari na bidhaa huwa nasema Heko Sana kwao.
Above All thanks to Almighty God atulindae daily tukiwa ndani ya Daladala.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…