Da Womanizer
JF-Expert Member
- May 24, 2010
- 1,577
- 151
Katika pita pita zangu hapa JF nimeshuhudia mara nyingi sana hawa mademu wakimwagiwa sifa kemkem...kama vile wana maji ya kutosha, visimi virefu......na nyinginezo nyingi. Sasa juzi kati nimegundua kuwa kumbe hata wao wanyarwanda wanajua kuwa watz wanawasifia, stori yenyewe inakwenda hivi;
Nilikutana na mtoto mmoja wa kinyarwanda na baada ya stori mbili tatu tukabadilishana namba. Kama baada ya siku moja au mbili nikapanda hewani, tukaongea fresh tukakubaliana kukutana sehemu tupige stori zaidi. Basi bwana ile tunafika tu sikumpa nafasi nikamwaga sera, majibu yake ndiyo nilikoma jmanake kwanza anadai wao watoto wa kinyarwanda ni wazuri sana na pia ni watamu sana na wanajua mambo si mchezo. Kwa kifupi alikuwa anaringa mbaya.
Dhumuni hasa la kuandika hii habari ni kwamba ninaomba wajuzi wanisaidie kuhusu mambo yafuatayo:-
- Hivi wanyarwanda hawapendi kujiremba? Manake huyu mrembo hatumii vipodozi zaidi ya mafuta labda na hata pamba zake ni za kawaida sana lakini pia sio kwamba ni mchafu, ni msafi wa kutosha.
- Kuna siku nilitoka naye nje (out). Sasa sehemu tuliyoenda msosi ni expensive kidogo, huwezi amini alikataa kuagiza chochote kwa sababu tu ni expensive na hiyo ni baada ya kumuhakikishia kuwa hakuna wasiwasi nitalipa. Ningependa kujua kama ni tabia zao au kuna kingine hapa.(Anaweza kuwa anatafuta kukubalika zaidi, if u knw wat I mean).
Naomba kujulishwa kuhusu hayo na mengineyo kuhusu hii specie.
Acha matusi wewe ukware wangu hapo unaingiaje. Halafu wewe si uliaga hapa.........au unawashwa??Acha kuharibia watu siku bila sababu. Anyway nime-edit hapo kwenye visimiNachelea kuchangia maana kuna hayo maneno hapa nadhani si mahala pake na ingekuwa kwenye jukwaa la wakubwa ingeeleweka na mtu angekuwa free kuchangi.
Asante hata hivyo kutueleza ukware wako.
Mkuu lugha ipi iliyokukwaza?Lugha uliyotumia siyo nzuri. Jaribu kufanya marekebisho iendane na jukwaa hili. Lakini mimi niseme tu kwamba wanawake wa kinyarwanda wengi wao ni natural. Hawapendi kupakaa makrimu ya ajabu ajabu. Ebu mwangalie mke wa Kagame na Museven walivyo. Utapenda. Siku nitakayombahatisha mmoja sijui kama kutakuwa na halftime. Ni bandika bandua mpaka kieleweke.
Achana na huyo mpemba, anajifanya anajua sana, aliaga hapa akaenda mombasa, yaliyo mkuta uko ndiyo yamemfanya arudi tena JF.Acha matusi wewe ukware wangu hapo unaingiaje. Halafu wewe si uliaga hapa.........au unawashwa??Acha kuharibia watu siku bila sababu. Anyway nime-edit hapo kwenye visimi
Nachelea kuchangia maana kuna hayo maneno hapa nadhani si mahala pake na ingekuwa kwenye jukwaa la wakubwa ingeeleweka na mtu angekuwa free kuchangi.
Asante hata hivyo kutueleza ukware wako.
Katika pita pita zangu hapa JF nimeshuhudia mara nyingi sana hawa mademu wakimwagiwa sifa kemkem...kama vile wana maji ya kutosha, v.s.m. virefu......na nyinginezo nyingi. Sasa juzi kati nimegundua kuwa kumbe hata wao wanyarwanda wanajua kuwa watz wanawasifia, stori yenyewe inakwenda hivi;
Nilikutana na mtoto mmoja wa kinyarwanda na baada ya stori mbili tatu tukabadilishana namba. Kama baada ya siku moja au mbili nikapanda hewani, tukaongea fresh tukakubaliana kukutana sehemu tupige stori zaidi. Basi bwana ile tunafika tu sikumpa nafasi nikamwaga sera, majibu yake ndiyo nilikoma jmanake kwanza anadai wao watoto wa kinyarwanda ni wazuri sana na pia ni watamu sana na wanajua mambo si mchezo. Kwa kifupi alikuwa anaringa mbaya.
Dhumuni hasa la kuandika hii habari ni kwamba ninaomba wajuzi wanisaidie kuhusu mambo yafuatayo:-
- Hivi wanyarwanda hawapendi kujiremba? Manake huyu mrembo hatumii vipodozi zaidi ya mafuta labda na hata pamba zake ni za kawaida sana lakini pia sio kwamba ni mchafu, ni msafi wa kutosha.
- Kuna siku nilitoka naye nje (out). Sasa sehemu tuliyoenda msosi ni expensive kidogo, huwezi amini alikataa kuagiza chochote kwa sababu tu ni expensive na hiyo ni baada ya kumuhakikishia kuwa hakuna wasiwasi nitalipa. Ningependa kujua kama ni tabia zao au kuna kingine hapa.(Anaweza kuwa anatafuta kukubalika zaidi, if u knw wat I mean).
Naomba kujulishwa kuhusu hayo na mengineyo kuhusu hii specie.
Hivi kwanini kila siku ni Mademu..Wanawake...Mademu..Wanawake...Mademu ....
Hizi thread zinakera vile! kha!
Wengine sijui hawajakaa kwenye matumbo ya Mama zao? Au walikulia kwenye incubators? khaa!
Chelle nashukuru sana, hapo kwenye kijani ina maana anaogopa nitamdai????!!!! Na kama hajanikubali kiivyo kwa nini yuko nami kwa muda wote huu? Hapo kwenye nyekundu, ni kwamba sehemu tuliyoenda ni ya kawaida sana....halafu mi nilikuona pale nikajificha lol.......Hapo kwenye bluu ina maana kujiremba ni kutojiamini??? Hebu fafanua kidogo, we hujirembi chelle au nawe pia hujiamini(kama unajiremba).kuna mawili,yawezekana kweli anakuone huruma kwamba pale ni expensive au ana sababu yake ya kutokula hilo eneo.......!!!
pili,yawezekana moyoni mwake hajakukubali hihivyo,so hataki uingie gharama kubwa sana kwa ajili yake......na pia kuna watu wanapenda kula sehemu za kawaida ambako kuna vyakula fresh zaidi kuliko huko expensive unakula mavyakula saa nyingine yana harufu....wakati mama ntilie kila siku vyakula fresh....l.o.l:wink2:
Kuhusu kujiremba,wanawake wa kinyarwanda wana confidence sana na ngozi zao,na wana ngozi nzuri....mara nyingi tunaweka make-up kufunika baadhi ya kasoro kwa ngozi zetu au kung'arisha,sasa kama ya kwake iko clear,afanyeje?anaiacha ilivyo!!!
Kaka likizo za Rwanda mi siziwezi salio halisomi kabisaaaaaaaaaaaKwa hayo maswali yako ilipaswa uchukue likizo uende Rwanda angalau mwezi mmoja utajua mengi sana. Lakin pia huyo mnyarwanda bado unae, endelea kuruka nae utajua mengi sana.
Naulizia utamaduni na jinsi walivyo ili niwaelewe vizuri kipipi moyo wangu......Unatafuta kabila au mwanamke??? Mie huwa sipendi mtu anayezungumzia ukabila, udini, uraia kwaheri
Ukiona hivyo ujue...inabeba sehemu kubwa sana ya maisha yetu ya sasa.
Ni ndoto hata kwa wanamuziki kuacha kutunga nyimbo zenye maudhui ya mapenzi...maana yametuelemea ndio sababu ya MAMBO YA WANAWAKE/WANAUME/MAPENZI kutawala saaaana majukwaani.
Ni mtazamo wangu binafsi.
nimefurahi kuona rangi zako nyingine?ukware hapa u wapi? mrekebishe mtu vizuri,wewe unayoletaga hapa tungeyaita ukware,manake mengine yamekaa kikware kweli!!!!
Naulizia utamaduni na jinsi walivyo ili niwaelewe vizuri kipipi moyo wangu......