mzibua chemba
JF-Expert Member
- Jul 18, 2016
- 476
- 412
Siku hizi madem hamna huruma aisee au si mseme basi mnauza tuu papuchi? kwa usawa huu imekua mpaka umdinye manzi mpaka uwe na ela maana unaeza kuwa na genye ukimpanga manzi Wako atakuambia nitumie nauli unakuta ni apo sinza mpaka kinondoni tuu ...akija anaeza kuja na rafiki zake anabeba kijiji wakifika wanaanza kuagiza mara sarvana, henken, mara wine, mara dompo, ukiita wa jikoni sasa apo utakoma mara kuku mara soseji, mara mbuzi, ili mradi fujo tuu na wanaeza shika shika apo kisister duu na kuacha tuu daa aisee ije bili sasa ata kuchangia hawezi kuzuga.... Apo ukisema muende hotel daa mnachukua hotel afu samtime anaanza pozi ohoo nawahi fanya chap niwahi daa apo hata genye hazijaisha alafu unakuta samtime ushajiboost vyako unataka uisugue kisawasawa yeye anaanza kulia lía ohhoo mapenzi hayo siyawezi anataka mapenz myahamishie mdomoni zaidi haaaa .....mnauzi balaa kiukweli ndiyo maana samtime naonaga madem wa uswazi wanajua mapenzi zaidi ya watoto wa geti kali......
Madem kuweni na huruma basi... Hivi mmefanya hizo papuchi zenu ni biashara? Maana mkimaliza kufanywa huwa mnasikilizia mwanaume anatoa sh ngp na akitoa ela ndogo mnanuna balaaa..... Imekua sasa kama huna ela unaogopa kumwaproch dem aisee...kuweni na huruma basi.......
Madem kuweni na huruma basi... Hivi mmefanya hizo papuchi zenu ni biashara? Maana mkimaliza kufanywa huwa mnasikilizia mwanaume anatoa sh ngp na akitoa ela ndogo mnanuna balaaa..... Imekua sasa kama huna ela unaogopa kumwaproch dem aisee...kuweni na huruma basi.......