Made in Lagos...

Made in Lagos...

Joined
May 16, 2020
Posts
88
Reaction score
95
Album ambayo imesubiliwa sana na mashabiki zake na ilipikwa muda mrefu sana hapa namzungumzia Star Boy Wizkid. Kupitia I.G yake Wizkid anatuambia Mwezi wa 10 anaachia Album kama inavyoonekana hapo kwenye post yake ya Instagram..

Kwenye hiyo album ni ngoma mbili tu ambazo zimesikika moja amefanya na mwanadada H.E.R inaitwa Smile ni Rege flani hivi. Leo ameachia Nyimbo nyingine kuelekea mwezi wa 10 inaitwa No Stress

Dah nimesikiliza lakini sikuona maajabu kabisa...Ule utawala wake Wizkid huku Afrika umefikia mwisho au? Au niamini yale maneno ya baadhi ya wadau kwamba Wizzy ni Overrated?

Screenshot_2020-09-17-20-34-17.png
 
Hizo nyimbo nilizani ni mimi peke yangu naona zakawaida kumbe wenye sikio la muziki wenge wanaona hizo nyimbo za kawaida sana mimi nina imani album ya fireboy ni kali kuliko hii ya wizkid

Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
 
Mzee SMILE ni bonge la ngoma. Halafu Wizkid sio overrated jamaa ni anajua.

Sikulazimishi uamini kuwa SMILE ni ngoma kali ila kiukweli imesimama vizuri katika kila kitu ikianzia na uandishi.

Ngoma kali sio mpaka ipigwe kila eneo unalopita.
 
Wiz anajua nadhani beat lolote anaishi nalo Kama kwenye brown skin girl sio Poa wasanii wetu wa bongo hawawez aseeh
 
Back
Top Bottom