Mwanahabari Huru
JF-Expert Member
- Mar 9, 2015
- 14,243
- 34,899
Vitu viwili sijavielewa:
1. Kuzuwia watu kuombea wagonjwa wapone
2. Dhana ya kwamba Mwenyezi Mungu hatapokea sala nikimuomba peke yangu chumbani.
My Take;
Kaka Madaraka jitokeze hadharani ukemee matendo maovu yanayofanywa na serikali. Hii ya mbinu ya kimafumbo haitoshi. Simama uhesabiwe. Naamini baba yako angekuwa hai asingechelewa hata dakika moja kupinga matendo haya ambayo hayakubaliki. Mtendee haki Julius Kambarage
1. Kuzuwia watu kuombea wagonjwa wapone
2. Dhana ya kwamba Mwenyezi Mungu hatapokea sala nikimuomba peke yangu chumbani.
My Take;
Kaka Madaraka jitokeze hadharani ukemee matendo maovu yanayofanywa na serikali. Hii ya mbinu ya kimafumbo haitoshi. Simama uhesabiwe. Naamini baba yako angekuwa hai asingechelewa hata dakika moja kupinga matendo haya ambayo hayakubaliki. Mtendee haki Julius Kambarage