Madalali kwenye ajira

ribart Focus

New Member
Joined
Feb 10, 2025
Posts
3
Reaction score
6
Ivi ni kwanini kazi sikuhizi wanapewa madalali?.Watu kabsa wameanzisha hadi makampini watu m-subscribe ili kupata kazi, kwanini yani ili upate kazi mpaka utoe hela. Eti kazi hii ili kupata Ada yake ni 30000 .WHY? Jamii Forum fikisheni hii sehemu husika ishakuwa kero.
 
Dada punguza hasira
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…