Madaktari walioshiriki mgomo.

Madaktari walioshiriki mgomo.

joline365

Member
Joined
Sep 23, 2012
Posts
26
Reaction score
8
Wiki iliyopita nilisoma kwenye gazeti la nipashe kuwa baraza la madaktari linaanza kuwahoji madaktari walioshiriki kwenye mgomo na baadaye kusitishiwa usajili na ilielezwa kuwa wanaanzia Mbeya.Naomba mwenye updates atufahamishe kilichoendelea au kinachoendelea hadi sasa.
 
Back
Top Bottom