Madaktari shirikianeni wote msidanganyike

Kiumbe duni

Senior Member
Dec 3, 2011
100
8
Ushauri wangu kwa maktari waliogoma wasidanganyike na ahadi waliyopewa na serikali kwamba waingie kazini wakati serikali inashughulikia madai yao. Kinachoshangaza wabunge walijiongezea posho kimya kimya bila kujadiliwa, lkn madaktari wanapotadai maslahi yao serikali inawatisha na wengine kuwahamisha, juna haki kweli hapa? Naju wanaoathirika ni wananchi wa kipato cha chini kwa sababu vigogo pamoja na familia zao hawatibiwi kwenye hospitali za serikali, lkn ni uzembe wetu wenyewe tungeingia barabarani kama kuishinikiza serikali isikilize kilio cha madaktari. Tumekuwa waoga sana kudai haki zetu kwa kuogopa virungu vya FFU lkn tukiendelea kufa kwa kukosa mtibabu woga utatutoka. Madaktari shikilieni msimamo wenu huohuo msidanganyike. Nawasilisha
 
Ushauri wangu kwa maktari waliogoma wasidanganyike na ahadi waliyopewa na serikali kwamba waingie kazini wakati serikali inashughulikia madai yao. Kinachoshangaza wabunge walijiongezea posho kimya kimya bila kujadiliwa, lkn madaktari wanapotadai maslahi yao serikali inawatisha na wengine kuwahamisha, juna haki kweli hapa? Naju wanaoathirika ni wananchi wa kipato cha chini kwa sababu vigogo pamoja na familia zao hawatibiwi kwenye hospitali za serikali, lkn ni uzembe wetu wenyewe tungeingia barabarani kama kuishinikiza serikali isikilize kilio cha madaktari. Tumekuwa waoga sana kudai haki zetu kwa kuogopa virungu vya FFU lkn tukiendelea kufa kwa kukosa mtibabu woga utatutoka. Madaktari shikilieni msimamo wenu huohuo msidanganyike. Nawasilisha

"Kwani kwa kuungana kwenu hakuna mtakacho poteza zaidi ya Minyororo Mliyofungwa kwa muda mrefu" Shime madaktari
Mkitaka kujua hawawajali jiulizeni Kikwete yupo wapi na Kwanini jana Pinda Mizengo Hakukutokea kwenye mkutano wenu.
 
"Kwani kwa kuungana kwenu hakuna mtakacho poteza zaidi ya Minyororo Mliyofungwa kwa muda mrefu" Shime madaktari
Mkitaka kujua hawawajali jiulizeni Kikwete yupo wapi na Kwanini jana Pinda Mizengo Hakukutokea kwenye mkutano wenu.
Tulikuwa gizani, sasa tumezinduka ni lazima umuhimu wetu ujulikane.
 
Mi naona JF tukahamasishe wagonjwa waliolazwa MNH, MOI na ORCI wajifunge mashuka ya hospitali waandamane kwenda ikulu kudai wapewe tiba.
 
ngojja tudischarge vichwa vya milembe vikafanye tour bungeni labda ndo tutasikilizwa
 
Ndugu zangu wanaJF, huku Moshi madaktari wanagonga supu tu kwenye migahawa huku wagonjwa wanalia mno. Ila ni halali yao kabisaaaa. hivi fikiria nchi iko kwenye matatizo ya maslahi ya wafanyakazi then JK anapanda ndege PRIVATE kwenda kula bata huko ulaya. Nauliza! JE, HUU NI UNGWANA NDUGU ZANGUNI? Garama ni 300,000,000. only for 4 days. Nawashauri na madaktari bingwa wakanywe supu pia huko mitaani. Ni taifa gani lenye rasimali nyingi hivi watu tunaonewa then tunakaa kimya kama karunguyeye alishikwa miiba yake? wana JF kuna uwezekano hato WBONGO tukiingiliwa ndoa zetu tunakaa kimyaaaaa!!!!!!!!!!!!!! Hebu fikiria Jana Kinana yuko Dar anaongelea masuala ya uchaguzi wahati watu wanakufa huko MNH. Nauliza tena ndugu zanguni HUU NI UNGWANA? sisi wana JF tusipochukua jukumu la kuielimisha hii jamii nani atafanya? I will never be the same again. Naomba kuwasilisha.
 
Back
Top Bottom