Kiumbe duni
Senior Member
- Dec 3, 2011
- 100
- 8
Ushauri wangu kwa maktari waliogoma wasidanganyike na ahadi waliyopewa na serikali kwamba waingie kazini wakati serikali inashughulikia madai yao. Kinachoshangaza wabunge walijiongezea posho kimya kimya bila kujadiliwa, lkn madaktari wanapotadai maslahi yao serikali inawatisha na wengine kuwahamisha, juna haki kweli hapa? Naju wanaoathirika ni wananchi wa kipato cha chini kwa sababu vigogo pamoja na familia zao hawatibiwi kwenye hospitali za serikali, lkn ni uzembe wetu wenyewe tungeingia barabarani kama kuishinikiza serikali isikilize kilio cha madaktari. Tumekuwa waoga sana kudai haki zetu kwa kuogopa virungu vya FFU lkn tukiendelea kufa kwa kukosa mtibabu woga utatutoka. Madaktari shikilieni msimamo wenu huohuo msidanganyike. Nawasilisha