THE LAST PATRIOT
Member
- Mar 11, 2014
- 26
- 7
Ndugu yangu alikuwa anaumwa nilimpeleka Hospital legency saa 10 alfajiri, Hao wadada wa reception wana majibu mabaya sijui usingizi au?
Kituko kwenda ODP kumuona daktari, tunaingia tu , daktari kaomba kulala yaani apumzike kidogo, tulipata hasira sana.
Alafu nyie madaktari si kila si kila anayeumwa kichwa, tumbo na viungo ni Maralia, maana mlimtwika ndugu yangu midose ya malaria na misindano juu, wakati anaumwa typhoid, achene hizo mtaua watu, kama mnausingizi si mbaki nyumbani mpumzike, mbona maabara ipo hapo kwa nin msi -recommend mgonjwa apimwe kabla ya dawa.